Chikito wa Ferre Gola hicho kipaji kasomea?

Chikito wa Ferre Gola hicho kipaji kasomea?

Mdau mmoja wa Wenge aitwae Gent.... simuoni akichangia mada yoyote, kulikoni mdau

nasikia kuwa yupo likizo hadi tarehe 8, January 2016 ila kwa taarifa zake zaidi si vibaya ukamuuliza rafiki yake mkubwa humu Mwanadada aitwae @nifah atakuwa na taarifa zake zaidi kwani hata mimi nafanya kubahatisha tu.
 
nasikia kuwa yupo likizo hadi tarehe 8, January 2016 ila kwa taarifa zake zaidi si vibaya ukamuuliza rafiki yake mkubwa humu Mwanadada aitwae @nifah atakuwa na taarifa zake zaidi kwani hata mimi nafanya kubahatisha tu.
Hata sijui kwanini hawaniulizi wakati mimi ndiye mtu wake wa karibu humu.
Japo popoma langu lile likishavuta mmea linanikera sana lakini nalipenda hivyohivyo.
Nimem miss sana (Haya nadhani umefurahi sasa).
 
Duuuuh naona popoma a.k.a @cleverbright kashusha nondo za hatari,ngoja nikipata sehemu yenye utulivu nimsome maana nimemiss sana vituko vyake.
@Ng'wanapagi best yangu kama nakuona ulivyofurahia nondo za popoma letu.....
 
Mkimaliza kujadili.......mniambie Yondo sister yupo wapi........mama ana mauno yule........
walaaah mabata ushungu... mi namuulizia tshala muana... soory kama
nimekosea huku kwanhawa mabakulutu nachunguliaga tu kwa kusimamia
vidole vya mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom