Chikito wa Ferre Gola hicho kipaji kasomea?

Chikito wa Ferre Gola hicho kipaji kasomea?

Ng'wanapagi

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2013
Posts
9,116
Reaction score
8,662
Mwimbaji mahiri katika band inayoongozwa na Ferre Gola Chikito hicho kipaji na hasa sauti anavyoipangilia tena bila kuchoka je amesomea shule ama kazaliwa nacho? Anavyonichanganya ni namna anavyoweza kuimba na akiimba anarudi kutoa kapani katika kunegua. Namfananisha na Chay Ngenge Ibuba wa BCBG kabla hajajiengua kwa JB Mpiana.
 

Attachments

  • 1447335274736.jpg
    1447335274736.jpg
    5.4 KB · Views: 599
Mwimbaji mahiri katika band inayoongozwa na Ferre Gola Chikito hicho kipaji na hasa sauti anavyoipangilia tena bila kuchoka je amesomea shule ama kazaliwa nacho? Anavyonichanganya ni namna anavyoweza kuimba na akiimba anarudi kutoa kapani katika kunegua. Namfananisha na Chay Ngenge Ibuba wa BCBG kabla hajajiengua kwa JB Mpiana.

Siku Nyingine Jitahidi Usidanganye Watu Kwani Kuna Watu Humu Miziki Ya DRC ( Zamani Zaire ) Wana Lala Na Kuamka Nayo. Kwanza Huyo Chikito Wako Sasa Ana Mwaka Ameshatoka Ktk Bendi Hiyo Ya Ferre Gola, Pili Huyu Anaimba Sana Mid Baritone Wakati Chai Ngenge Anaimba High Suprano Na Kujibu Swali Lako Kuwa Je Amesomea Muziki au Hapana Jibu Ni Kwamba Huyu Dogo Hajasomea Muziki Ila Tokea Akiwa Mdogo Alikuwa Akipenda Sana Kuimba Na Hasa Kuiga Sauti au Uimbaji Wa Wanamuziki Wa Congo Na Kuna Wakati Ferre Gola Alipojiengua Tu Kutoka Kwa Koffi Na Kuanzisha Bendi Yake Siku Moja Alifanya Show Ndipo Wakati Anaimba Akasema Anatafuta Vijana Wenye Vipaji, Watundu Wa Kuimba Na Wanaojua Kucheza Ndipo Wakajitokeza Vijana Hapo Kama 15 Hivi Ambapo Ferre Gola Aliwapa Kila Mmoja Nafasi Ya Kuimba Ndipo Shughuli Ya Chikito Ilipoonekana Hapo Na Bila Ajizi Akalamba Ajira Kwa Ferre Gola Ambapo Sasa Akawa Anaongozwa Kuimba Hadi Alipokaa Sawa Huku Akionekana Kama Kivutio Kikubwa Cha Mashabiki Wa Ferre Gola Na Kupewa Hadi Cheo Cha Vice Directore De Ochestre Wa Bendi. Na Kipindi Hicho Hicho Tu Chikito Alipokuwa Sasa Anawika Ndipo Akatokea Tajiri Mmoja Congo Anaitwa Didier Kinuani Le Comparable Na Kuamua Kumnunulia Nyumba Kubwa Tu Ya Kifahari Pale Kinshasa Lakini Muwajuavyo Wacongo Wakishapata Tu Jina Huwa Hawakai au Hawadumu Ktk Bendi Na Mwaka Jana Tu Dogo Kajiengua Na Sasa Anafanya Yake. Anaiga Mifano Ya Kaka Zake Akina Mukeba Kalonji a.k.a Bill Clinton Rapa Maarufu Wa Wenge Maison Mere Ya Werrason, Tutu Caludgi a.k.a Le Kalunjiste Rapa Na Mwalimu Wa Marepa Karibia Wengi Wa Bendi Nyingi Kubwa Za Congo Na Ambaye Ndiyo Alikuwa Rapa Kiongozi Wa Bendi Ya Wenge Musica BCBG Ya JB Mpiana, Fally Ipupa, Ferre Gola na Ndugu Alain Mpela a.k.a Afande ( Kaka Mtu ) Aliyekuwa Mwimbaji Mwandamizi Wenge Musica BCBG Na Bouro Mpela ( Mdogo Mtu ) Ambaye Nae Alikuwa Mwimbaji Mwandamizi Quarter Latin Ya Koffi Olomide. Cha Kushangaza Kati Ya Wote Hao Waliojifanya Kujiengua Na Kunzisha Bendi Zao Waliofanikiwa Ni Fally Ipupa Na Ferre Gola Pekee Huku Bill Clinton Akijikongoja Lakini Kwa Waliobaki Ni Tia Maji Tia Maji. Chikito Nae Atakuja Kujuta Kujiengua Wakati Alitakiwa Bado Akomae Kimuziki. Ni Hayo Tu!
 
G umetisha kwa data. Mambo ya congovibes.com? Swali: Kama tukisema tumlaumu mtu mmoja kwa kuvunjika kwa Wenge, huyo mtu atakuwa nan? JB? Wera?
 
huwa napata shule safi kutoka kwako mkubwa genta kuhusu wanamuziki,bendi na muziki wa Kongo kwa jumla
 
Siku Nyingine Jitahidi Usidanganye Watu Kwani Kuna Watu Humu Miziki Ya DRC ( Zamani Zaire ) Wana Lala Na Kuamka Nayo. Kwanza Huyo Chikito Wako Sasa Ana Mwaka Ameshatoka Ktk Bendi Hiyo Ya Ferre Gola, Pili Huyu Anaimba Sana Mid Baritone Wakati Chai Ngenge Anaimba High Suprano Na Kujibu Swali Lako Kuwa Je Amesomea Muziki au Hapana Jibu Ni Kwamba Huyu Dogo Hajasomea Muziki Ila Tokea Akiwa Mdogo Alikuwa Akipenda Sana Kuimba Na Hasa Kuiga Sauti au Uimbaji Wa Wanamuziki Wa Congo Na Kuna Wakati Ferre Gola Alipojiengua Tu Kutoka Kwa Koffi Na Kuanzisha Bendi Yake Siku Moja Alifanya Show Ndipo Wakati Anaimba Akasema Anatafuta Vijana Wenye Vipaji, Watundu Wa Kuimba Na Wanaojua Kucheza Ndipo Wakajitokeza Vijana Hapo Kama 15 Hivi Ambapo Ferre Gola Aliwapa Kila Mmoja Nafasi Ya Kuimba Ndipo Shughuli Ya Chikito Ilipoonekana Hapo Na Bila Ajizi Akalamba Ajira Kwa Ferre Gola Ambapo Sasa Akawa Anaongozwa Kuimba Hadi Alipokaa Sawa Huku Akionekana Kama Kivutio Kikubwa Cha Mashabiki Wa Ferre Gola Na Kupewa Hadi Cheo Cha Vice Directore De Ochestre Wa Bendi. Na Kipindi Hicho Hicho Tu Chikito Alipokuwa Sasa Anawika Ndipo Akatokea Tajiri Mmoja Congo Anaitwa Didier Kinuani Le Comparable Na Kuamua Kumnunulia Nyumba Kubwa Tu Ya Kifahari Pale Kinshasa Lakini Muwajuavyo Wacongo Wakishapata Tu Jina Huwa Hawakai au Hawadumu Ktk Bendi Na Mwaka Jana Tu Dogo Kajiengua Na Sasa Anafanya Yake. Anaiga Mifano Ya Kaka Zake Akina Mukeba Kalonji a.k.a Bill Clinton Rapa Maarufu Wa Wenge Maison Mere Ya Werrason, Tutu Caludgi a.k.a Le Kalunjiste Rapa Na Mwalimu Wa Marepa Karibia Wengi Wa Bendi Nyingi Kubwa Za Congo Na Ambaye Ndiyo Alikuwa Rapa Kiongozi Wa Bendi Ya Wenge Musica BCBG Ya JB Mpiana, Fally Ipupa, Ferre Gola na Ndugu Alain Mpela a.k.a Afande ( Kaka Mtu ) Aliyekuwa Mwimbaji Mwandamizi Wenge Musica BCBG Na Bouro Mpela ( Mdogo Mtu ) Ambaye Nae Alikuwa Mwimbaji Mwandamizi Quarter Latin Ya Koffi Olomide. Cha Kushangaza Kati Ya Wote Hao Waliojifanya Kujiengua Na Kunzisha Bendi Zao Waliofanikiwa Ni Fally Ipupa Na Ferre Gola Pekee Huku Bill Clinton Akijikongoja Lakini Kwa Waliobaki Ni Tia Maji Tia Maji. Chikito Nae Atakuja Kujuta Kujiengua Wakati Alitakiwa Bado Akomae Kimuziki. Ni Hayo Tu!

Salute
 
Siku Nyingine Jitahidi Usidanganye Watu Kwani Kuna Watu Humu Miziki Ya DRC ( Zamani Zaire ) Wana Lala Na Kuamka Nayo. Kwanza Huyo Chikito Wako Sasa Ana Mwaka Ameshatoka Ktk Bendi Hiyo Ya Ferre Gola, Pili Huyu Anaimba Sana Mid Baritone Wakati Chai Ngenge Anaimba High Suprano Na Kujibu Swali Lako Kuwa Je Amesomea Muziki au Hapana Jibu Ni Kwamba Huyu Dogo Hajasomea Muziki Ila Tokea Akiwa Mdogo Alikuwa Akipenda Sana Kuimba Na Hasa Kuiga Sauti au Uimbaji Wa Wanamuziki Wa Congo Na Kuna Wakati Ferre Gola Alipojiengua Tu Kutoka Kwa Koffi Na Kuanzisha Bendi Yake Siku Moja Alifanya Show Ndipo Wakati Anaimba Akasema Anatafuta Vijana Wenye Vipaji, Watundu Wa Kuimba Na Wanaojua Kucheza Ndipo Wakajitokeza Vijana Hapo Kama 15 Hivi Ambapo Ferre Gola Aliwapa Kila Mmoja Nafasi Ya Kuimba Ndipo Shughuli Ya Chikito Ilipoonekana Hapo Na Bila Ajizi Akalamba Ajira Kwa Ferre Gola Ambapo Sasa Akawa Anaongozwa Kuimba Hadi Alipokaa Sawa Huku Akionekana Kama Kivutio Kikubwa Cha Mashabiki Wa Ferre Gola Na Kupewa Hadi Cheo Cha Vice Directore De Ochestre Wa Bendi. Na Kipindi Hicho Hicho Tu Chikito Alipokuwa Sasa Anawika Ndipo Akatokea Tajiri Mmoja Congo Anaitwa Didier Kinuani Le Comparable Na Kuamua Kumnunulia Nyumba Kubwa Tu Ya Kifahari Pale Kinshasa Lakini Muwajuavyo Wacongo Wakishapata Tu Jina Huwa Hawakai au Hawadumu Ktk Bendi Na Mwaka Jana Tu Dogo Kajiengua Na Sasa Anafanya Yake. Anaiga Mifano Ya Kaka Zake Akina Mukeba Kalonji a.k.a Bill Clinton Rapa Maarufu Wa Wenge Maison Mere Ya Werrason, Tutu Caludgi a.k.a Le Kalunjiste Rapa Na Mwalimu Wa Marepa Karibia Wengi Wa Bendi Nyingi Kubwa Za Congo Na Ambaye Ndiyo Alikuwa Rapa Kiongozi Wa Bendi Ya Wenge Musica BCBG Ya JB Mpiana, Fally Ipupa, Ferre Gola na Ndugu Alain Mpela a.k.a Afande ( Kaka Mtu ) Aliyekuwa Mwimbaji Mwandamizi Wenge Musica BCBG Na Bouro Mpela ( Mdogo Mtu ) Ambaye Nae Alikuwa Mwimbaji Mwandamizi Quarter Latin Ya Koffi Olomide. Cha Kushangaza Kati Ya Wote Hao Waliojifanya Kujiengua Na Kunzisha Bendi Zao Waliofanikiwa Ni Fally Ipupa Na Ferre Gola Pekee Huku Bill Clinton Akijikongoja Lakini Kwa Waliobaki Ni Tia Maji Tia Maji. Chikito Nae Atakuja Kujuta Kujiengua Wakati Alitakiwa Bado Akomae Kimuziki. Ni Hayo Tu!

Swali; je ferre na fally wote wanatokea kwa koffi? Kuna kazi niwahi ona ya ferre na werason kazi ya kitambo kidogo, je ferre ashawahi kuwa wenge au ni collabo tu?
 
Siku Nyingine Jitahidi Usidanganye Watu Kwani Kuna Watu Humu Miziki Ya DRC ( Zamani Zaire ) Wana Lala Na Kuamka Nayo. Kwanza Huyo Chikito Wako Sasa Ana Mwaka Ameshatoka Ktk Bendi Hiyo Ya Ferre Gola, Pili Huyu Anaimba Sana Mid Baritone Wakati Chai Ngenge Anaimba High Suprano Na Kujibu Swali Lako Kuwa Je Amesomea Muziki au Hapana Jibu Ni Kwamba Huyu Dogo Hajasomea Muziki Ila Tokea Akiwa Mdogo Alikuwa Akipenda Sana Kuimba Na Hasa Kuiga Sauti au Uimbaji Wa Wanamuziki Wa Congo Na Kuna Wakati Ferre Gola Alipojiengua Tu Kutoka Kwa Koffi Na Kuanzisha Bendi Yake Siku Moja Alifanya Show Ndipo Wakati Anaimba Akasema Anatafuta Vijana Wenye Vipaji, Watundu Wa Kuimba Na Wanaojua Kucheza Ndipo Wakajitokeza Vijana Hapo Kama 15 Hivi Ambapo Ferre Gola Aliwapa Kila Mmoja Nafasi Ya Kuimba Ndipo Shughuli Ya Chikito Ilipoonekana Hapo Na Bila Ajizi Akalamba Ajira Kwa Ferre Gola Ambapo Sasa Akawa Anaongozwa Kuimba Hadi Alipokaa Sawa Huku Akionekana Kama Kivutio Kikubwa Cha Mashabiki Wa Ferre Gola Na Kupewa Hadi Cheo Cha Vice Directore De Ochestre Wa Bendi. Na Kipindi Hicho Hicho Tu Chikito Alipokuwa Sasa Anawika Ndipo Akatokea Tajiri Mmoja Congo Anaitwa Didier Kinuani Le Comparable Na Kuamua Kumnunulia Nyumba Kubwa Tu Ya Kifahari Pale Kinshasa Lakini Muwajuavyo Wacongo Wakishapata Tu Jina Huwa Hawakai au Hawadumu Ktk Bendi Na Mwaka Jana Tu Dogo Kajiengua Na Sasa Anafanya Yake. Anaiga Mifano Ya Kaka Zake Akina Mukeba Kalonji a.k.a Bill Clinton Rapa Maarufu Wa Wenge Maison Mere Ya Werrason, Tutu Caludgi a.k.a Le Kalunjiste Rapa Na Mwalimu Wa Marepa Karibia Wengi Wa Bendi Nyingi Kubwa Za Congo Na Ambaye Ndiyo Alikuwa Rapa Kiongozi Wa Bendi Ya Wenge Musica BCBG Ya JB Mpiana, Fally Ipupa, Ferre Gola na Ndugu Alain Mpela a.k.a Afande ( Kaka Mtu ) Aliyekuwa Mwimbaji Mwandamizi Wenge Musica BCBG Na Bouro Mpela ( Mdogo Mtu ) Ambaye Nae Alikuwa Mwimbaji Mwandamizi Quarter Latin Ya Koffi Olomide. Cha Kushangaza Kati Ya Wote Hao Waliojifanya Kujiengua Na Kunzisha Bendi Zao Waliofanikiwa Ni Fally Ipupa Na Ferre Gola Pekee Huku Bill Clinton Akijikongoja Lakini Kwa Waliobaki Ni Tia Maji Tia Maji. Chikito Nae Atakuja Kujuta Kujiengua Wakati Alitakiwa Bado Akomae Kimuziki. Ni Hayo Tu!

Wahindiri tata!.... huku ndio kunakufaa, unatapika madini ya thamani kubwa sio kule kwenye siasa unapoharisha hivyo!

Do not paniQ poti, umetisha. I salute you brother!
 
Siku Nyingine Jitahidi Usidanganye Watu Kwani Kuna Watu Humu Miziki Ya DRC ( Zamani Zaire ) Wana Lala Na Kuamka Nayo. Kwanza Huyo Chikito Wako Sasa Ana Mwaka Ameshatoka Ktk Bendi Hiyo Ya Ferre Gola, Pili Huyu Anaimba Sana Mid Baritone Wakati Chai Ngenge Anaimba High Suprano Na Kujibu Swali Lako Kuwa Je Amesomea Muziki au Hapana Jibu Ni Kwamba Huyu Dogo Hajasomea Muziki Ila Tokea Akiwa Mdogo Alikuwa Akipenda Sana Kuimba Na Hasa Kuiga Sauti au Uimbaji Wa Wanamuziki Wa Congo Na Kuna Wakati Ferre Gola Alipojiengua Tu Kutoka Kwa Koffi Na Kuanzisha Bendi Yake Siku Moja Alifanya Show Ndipo Wakati Anaimba Akasema Anatafuta Vijana Wenye Vipaji, Watundu Wa Kuimba Na Wanaojua Kucheza Ndipo Wakajitokeza Vijana Hapo Kama 15 Hivi Ambapo Ferre Gola Aliwapa Kila Mmoja Nafasi Ya Kuimba Ndipo Shughuli Ya Chikito Ilipoonekana Hapo Na Bila Ajizi Akalamba Ajira Kwa Ferre Gola Ambapo Sasa Akawa Anaongozwa Kuimba Hadi Alipokaa Sawa Huku Akionekana Kama Kivutio Kikubwa Cha Mashabiki Wa Ferre Gola Na Kupewa Hadi Cheo Cha Vice Directore De Ochestre Wa Bendi. Na Kipindi Hicho Hicho Tu Chikito Alipokuwa Sasa Anawika Ndipo Akatokea Tajiri Mmoja Congo Anaitwa Didier Kinuani Le Comparable Na Kuamua Kumnunulia Nyumba Kubwa Tu Ya Kifahari Pale Kinshasa Lakini Muwajuavyo Wacongo Wakishapata Tu Jina Huwa Hawakai au Hawadumu Ktk Bendi Na Mwaka Jana Tu Dogo Kajiengua Na Sasa Anafanya Yake. Anaiga Mifano Ya Kaka Zake Akina Mukeba Kalonji a.k.a Bill Clinton Rapa Maarufu Wa Wenge Maison Mere Ya Werrason, Tutu Caludgi a.k.a Le Kalunjiste Rapa Na Mwalimu Wa Marepa Karibia Wengi Wa Bendi Nyingi Kubwa Za Congo Na Ambaye Ndiyo Alikuwa Rapa Kiongozi Wa Bendi Ya Wenge Musica BCBG Ya JB Mpiana, Fally Ipupa, Ferre Gola na Ndugu Alain Mpela a.k.a Afande ( Kaka Mtu ) Aliyekuwa Mwimbaji Mwandamizi Wenge Musica BCBG Na Bouro Mpela ( Mdogo Mtu ) Ambaye Nae Alikuwa Mwimbaji Mwandamizi Quarter Latin Ya Koffi Olomide. Cha Kushangaza Kati Ya Wote Hao Waliojifanya Kujiengua Na Kunzisha Bendi Zao Waliofanikiwa Ni Fally Ipupa Na Ferre Gola Pekee Huku Bill Clinton Akijikongoja Lakini Kwa Waliobaki Ni Tia Maji Tia Maji. Chikito Nae Atakuja Kujuta Kujiengua Wakati Alitakiwa Bado Akomae Kimuziki. Ni Hayo Tu!

Mkuu nashukuru kwa kunielewesha ila sikudhamiria kudaganya. Mimi siku zote nacheki live concert za Ferre akiwa na Chikito hivyo sikufahamu kama ashajiengua. Mi chaka langu ni JB Mpiana huku Ferre nikisikiliza tu mipini yake ila kwa live concert JB ni nuksi.
NB: Hii miziki imenilazimu nirudi darasani kusoma Kifaransa kwani tangu nikue sijawahi kusikiliza Bongo fleva sijui Diamond na upuuzi mwingine. Sasa mkuu nakupa saluti ila naomba unisaidie ratiba ya JB Mpiana mwaka huu hasa December kama ana live concert maana nimedhamilia nikamcheki live Kinshasa kuondoa stress za uchaguzi huu maana tumekatwa tena.
 

Attachments

  • 1447343037421.jpg
    1447343037421.jpg
    57.4 KB · Views: 236
G umetisha kwa data. Mambo ya congovibes.com? Swali: Kama tukisema tumlaumu mtu mmoja kwa kuvunjika kwa Wenge, huyo mtu atakuwa nan? JB? Wera?

koffi olomide. usihofu mkuu sheikh ni huyu huyu ila hapa nina kanzu nyingine. usishangae kwanini koffi olomide bali nataka uulize imekuwaje uzidi kupata madini zaidi.
 
Siku Nyingine Jitahidi Usidanganye Watu Kwani Kuna Watu Humu Miziki Ya DRC ( Zamani Zaire ) Wana Lala Na Kuamka Nayo. Kwanza Huyo Chikito Wako Sasa Ana Mwaka Ameshatoka Ktk Bendi Hiyo Ya Ferre Gola, Pili Huyu Anaimba Sana Mid Baritone Wakati Chai Ngenge Anaimba High Suprano Na Kujibu Swali Lako Kuwa Je Amesomea Muziki au Hapana Jibu Ni Kwamba Huyu Dogo Hajasomea Muziki Ila Tokea Akiwa Mdogo Alikuwa Akipenda Sana Kuimba Na Hasa Kuiga Sauti au Uimbaji Wa Wanamuziki Wa Congo Na Kuna Wakati Ferre Gola Alipojiengua Tu Kutoka Kwa Koffi Na Kuanzisha Bendi Yake Siku Moja Alifanya Show Ndipo Wakati Anaimba Akasema Anatafuta Vijana Wenye Vipaji, Watundu Wa Kuimba Na Wanaojua Kucheza Ndipo Wakajitokeza Vijana Hapo Kama 15 Hivi Ambapo Ferre Gola Aliwapa Kila Mmoja Nafasi Ya Kuimba Ndipo Shughuli Ya Chikito Ilipoonekana Hapo Na Bila Ajizi Akalamba Ajira Kwa Ferre Gola Ambapo Sasa Akawa Anaongozwa Kuimba Hadi Alipokaa Sawa Huku Akionekana Kama Kivutio Kikubwa Cha Mashabiki Wa Ferre Gola Na Kupewa Hadi Cheo Cha Vice Directore De Ochestre Wa Bendi. Na Kipindi Hicho Hicho Tu Chikito Alipokuwa Sasa Anawika Ndipo Akatokea Tajiri Mmoja Congo Anaitwa Didier Kinuani Le Comparable Na Kuamua Kumnunulia Nyumba Kubwa Tu Ya Kifahari Pale Kinshasa Lakini Muwajuavyo Wacongo Wakishapata Tu Jina Huwa Hawakai au Hawadumu Ktk Bendi Na Mwaka Jana Tu Dogo Kajiengua Na Sasa Anafanya Yake. Anaiga Mifano Ya Kaka Zake Akina Mukeba Kalonji a.k.a Bill Clinton Rapa Maarufu Wa Wenge Maison Mere Ya Werrason, Tutu Caludgi a.k.a Le Kalunjiste Rapa Na Mwalimu Wa Marepa Karibia Wengi Wa Bendi Nyingi Kubwa Za Congo Na Ambaye Ndiyo Alikuwa Rapa Kiongozi Wa Bendi Ya Wenge Musica BCBG Ya JB Mpiana, Fally Ipupa, Ferre Gola na Ndugu Alain Mpela a.k.a Afande ( Kaka Mtu ) Aliyekuwa Mwimbaji Mwandamizi Wenge Musica BCBG Na Bouro Mpela ( Mdogo Mtu ) Ambaye Nae Alikuwa Mwimbaji Mwandamizi Quarter Latin Ya Koffi Olomide. Cha Kushangaza Kati Ya Wote Hao Waliojifanya Kujiengua Na Kunzisha Bendi Zao Waliofanikiwa Ni Fally Ipupa Na Ferre Gola Pekee Huku Bill Clinton Akijikongoja Lakini Kwa Waliobaki Ni Tia Maji Tia Maji. Chikito Nae Atakuja Kujuta Kujiengua Wakati Alitakiwa Bado Akomae Kimuziki. Ni Hayo Tu!

Kaka, big up. Unaujua music wa Congo na siyo mbaya nikiamini wewe ni team JB Mpiana au Werasson. Mimi binafsi ni team JB Mpiana. Katika rap za Congo, Tutu Kaludji ni moto wa kuotea mbali. Hata hivyo nikiri tu kuwa kuna rapa wa General Defao,(Nkonzi wa Ngozi- Sorry spelling),huyu jamaa nae,alikua mkali balaa.

Leo nitawataja watu kama 6 hivi ambao ni Icon ya JB Mpiana baada ya Wenge Original kuvunjika, pia tutajikumbusha japo kwa majina Wenge Original.
Tukianza na Wenge baada ya kuvunjija, tutumie vibao vitatu:
1. Papito Mbala Version 2(Remix)

Hapa kuna majina makubwa haya:-
JB Mpiana, Aimelia Lyese Demingongo, Alain Mpela(Afande),Jules Kibens(Le Prefesseor),Chai Ngenge,Rio.

2. Internet,Le Spoi'r de Chicago, Love Airline(Vibao vya Album Internet)
JB Mpiana, Genta, Rio, Chai Ngenge, Fi Care, Jules Kibens, Mignon,Alain Mpela, Titina Alcapone, Burkinafaso.

3.Tour Eiffel, Likala moto, Baracuda, Serge Palm, Liberation
Aimelia Lyese,JB Mpiana,Alain Mpela,Chai Ngenge, Titina Alcapone, Burkinafasso,Jules Kibens,Mignon.

Hao ndiyo Wenge baada ya kusambaratika.
Tujikumbushe Wenge ya Mwanzoni ilikuaje?
Ngiama Noel Makanda(Werrason),Didier Masela, Adolph Dominguez,JB Mpiana, kwa uchache kabisa. Yapasa kujua tu kwamba JB Mpiana hakua ni mtu wa kwanza kuleta idea ya kuunda bendi, bali wazo lilitolewa na Didier Masela, Werrason na baadae Adolphe Dominguez ndipo baadae akaja JB Mpiana wa Tshituka( Mume wa Amida Shatur na binti yao Dayida)

Ila mdau, naomba unipe updates, kwa nini bendi ambayo miaka ile ya 1999-2000, ilikuja kuwatisha Wenge Musica na Extra Musica, bendi hiyo ni Group lililokua linaitwa G7,ambayo ilitisha kwa vibao na midundo ambayo siyo mchezo, lakini je kwa nini haikudumu? Mdau nifafanulie ilikuaje ilikufa ghafla vile?
 
Kaka, big up. Unaujua music wa Congo na siyo mbaya nikiamini wewe ni team JB Mpiana au Werasson. Mimi binafsi ni team JB Mpiana. Katika rap za Congo, Tutu Kaludji ni moto wa kuotea mbali. Hata hivyo nikiri tu kuwa kuna rapa wa General Defao,(Nkonzi wa Ngozi- Sorry spelling),huyu jamaa nae,alikua mkali balaa.

Leo nitawataja watu kama 6 hivi ambao ni Icon ya JB Mpiana baada ya Wenge Original kuvunjika, pia tutajikumbusha japo kwa majina Wenge Original.
Tukianza na Wenge baada ya kuvunjija, tutumie vibao vitatu:
1. Papito Mbala Version 2(Remix)

Hapa kuna majina makubwa haya:-
JB Mpiana, Aimelia Lyese Demingongo, Alain Mpela(Afande),Jules Kibens(Le Prefesseor),Chai Ngenge,Rio.

2. Internet,Le Spoi'r de Chicago, Love Airline(Vibao vya Album Internet)
JB Mpiana, Genta, Rio, Chai Ngenge, Fi Care, Jules Kibens, Mignon,Alain Mpela, Titina Alcapone, Burkinafaso.

3.Tour Eiffel, Likala moto, Baracuda, Serge Palm, Liberation
Aimelia Lyese,JB Mpiana,Alain Mpela,Chai Ngenge, Titina Alcapone, Burkinafasso,Jules Kibens,Mignon.

Hao ndiyo Wenge baada ya kusambaratika.
Tujikumbushe Wenge ya Mwanzoni ilikuaje?
Ngiama Noel Makanda(Werrason),Didier Masela, Adolph Dominguez,JB Mpiana, kwa uchache kabisa. Yapasa kujua tu kwamba JB Mpiana hakua ni mtu wa kwanza kuleta idea ya kuunda bendi, bali wazo lilitolewa na Didier Masela, Werrason na baadae Adolphe Dominguez ndipo baadae akaja JB Mpiana wa Tshituka( Mume wa Amida Shatur na binti yao Dayida)

Ila mdau, naomba unipe updates, kwa nini bendi ambayo miaka ile ya 1999-2000, ilikuja kuwatisha Wenge Musica na Extra Musica, bendi hiyo ni Group lililokua linaitwa G7,ambayo ilitisha kwa vibao na midundo ambayo siyo mchezo, lakini je kwa nini haikudumu? Mdau nifafanulie ilikuaje ilikufa ghafla vile?

Nashukru wadau kwa kunogesha hii posti pia nimefurahi kwa kuwa member mwezangu kwa JB ila kuondoka kwa Chay Ngenge Ibuba mwanagu kumetukosti sana. Nilikuwa Kampala wiki jana ndipo baada ya kilichonipeleka huko nikaa na Wakongo ambao wengi wameajiriwa hapo Kampala madukani kwa vile wanachapia kiswahili kwa wateja. Niliwauliza kwanini Ibuba kamtosa JB wakadai JB ana dharau sana pia hata kule kujiita Motopamba huwa ni kuwasimaga masikini pia nilikuwa sijui kama motopamba ni tusi siku moja rafiki yangu mmoja anaishi Kasai Kongo nilimwita Motopamba nusra ani block kwa kuniambia nisirudie tena hilo tusi. Huwa nikisikiliza kibao Indentite d'amour namna Chay Ngenge anavyolalamika duu natamani sana arudi kundini.
 
Swali; je ferre na fally wote wanatokea kwa koffi? Kuna kazi niwahi ona ya ferre na werason kazi ya kitambo kidogo, je ferre ashawahi kuwa wenge au ni collabo tu?

Jibu ni ndiyo. Wakati ule wa miaka ya 1996/1997 wakati Wenge iko juu full music, iliingiza Vijana na kuwapika vilivyo. Miongoni mwao ni Ferre Gola. Muda mfupi baadae Wenge ilipovunjika kuwepo Wenge ya JB Mpiana na Wenge Maison Mere, Ferre Gola aliamua kwenda kwa Werasson(Wenge Maison Mere). Baadae kidogo Aimelia Lyese Demingongo aliyebakia Wenge Music ya JB Mpiana alijiunga na Maison Mere, na hapo akampa majukumu makubwa kuliko aliowakuta. Tendo hili lilimkera sana Ferre Gola na kusema Aimelia Lyese hana lolote la kuwazidi, hivyo akaamua kujiondoa Wenge Musica!
 
Kaka, big up. Unaujua music wa Congo na siyo mbaya nikiamini wewe ni team JB Mpiana au Werasson. Mimi binafsi ni team JB Mpiana. Katika rap za Congo, Tutu Kaludji ni moto wa kuotea mbali. Hata hivyo nikiri tu kuwa kuna rapa wa General Defao,(Nkonzi wa Ngozi- Sorry spelling),huyu jamaa nae,alikua mkali balaa.

Leo nitawataja watu kama 6 hivi ambao ni Icon ya JB Mpiana baada ya Wenge Original kuvunjika, pia tutajikumbusha japo kwa majina Wenge Original.
Tukianza na Wenge baada ya kuvunjija, tutumie vibao vitatu:
1. Papito Mbala Version 2(Remix)

Hapa kuna majina makubwa haya:-
JB Mpiana, Aimelia Lyese Demingongo, Alain Mpela(Afande),Jules Kibens(Le Prefesseor),Chai Ngenge,Rio.

2. Internet,Le Spoi'r de Chicago, Love Airline(Vibao vya Album Internet)
JB Mpiana, Genta, Rio, Chai Ngenge, Fi Care, Jules Kibens, Mignon,Alain Mpela, Titina Alcapone, Burkinafaso.

3.Tour Eiffel, Likala moto, Baracuda, Serge Palm, Liberation
Aimelia Lyese,JB Mpiana,Alain Mpela,Chai Ngenge, Titina Alcapone, Burkinafasso,Jules Kibens,Mignon.

Hao ndiyo Wenge baada ya kusambaratika.
Tujikumbushe Wenge ya Mwanzoni ilikuaje?
Ngiama Noel Makanda(Werrason),Didier Masela, Adolph Dominguez,JB Mpiana, kwa uchache kabisa. Yapasa kujua tu kwamba JB Mpiana hakua ni mtu wa kwanza kuleta idea ya kuunda bendi, bali wazo lilitolewa na Didier Masela, Werrason na baadae Adolphe Dominguez ndipo baadae akaja JB Mpiana wa Tshituka( Mume wa Amida Shatur na binti yao Dayida)

Ila mdau, naomba unipe updates, kwa nini bendi ambayo miaka ile ya 1999-2000, ilikuja kuwatisha Wenge Musica na Extra Musica, bendi hiyo ni Group lililokua linaitwa G7,ambayo ilitisha kwa vibao na midundo ambayo siyo mchezo, lakini je kwa nini haikudumu? Mdau nifafanulie ilikuaje ilikufa ghafla vile?

nikiwa namjibia tu pacha wangu gentamycine aliyepumzishwa kilazima ni kwamba uliyoyaandika hapo ni sahihi kabisa ila kuna nyimbo umezitaja hapo imebidi nitokwe na machozi na kulaumu kwanini wenge bcbg ilisambaratika. nyimbo kama love airline, liberation, serge palmi wenge bcbg walitulia. kwenye bendi yoyote ukiwa na mtu kama titina alcapone le grand prete ambaye alikuwa ni drummer mkuu huku katika solo guitar akiwepo burkina faso mboka liya ambaye kwa sasa anayepatia kupiga solo lake ni kijana mmoja aitwae cain madoka ambaye shughuli yake inajulikana katika wimbo wa evelyn wa bendi nzima ya loketo chini ya aurlus mabele na kuna watu muhimu mkuu hapo juu umewasahau nao ni mpiga keyboard maarufu theo bindens ambaye kwa sasa amerithiwa na wapiga vinanda wawili wakali waitwao cedric gezeula na geremi kitubu na ukitaka pia kujua moto wa hawa jamaa wawili tafuta live dvd ya wenge bcbg halafu sikiliza wimbo uitwao le baron. katika safu zote za uimbaji umepatia kuwataja ila lazima tukubali kuwa viwango hutofautiana na hapa nisimung'unye maneno wenge bcbg ya sasa inasimamiwa vizuri sana na huyu kiongozi wa wanamuziki ndani ya bendi nzima ya bcbg mhadhiri wa lugha wa chuo kikuu cha kinshasa aitwae jules kibens molongeshi ambao wengi wenu mnamuita le professer ambapo kwa kifaransa inamaanisha mwalimu kutokana na yeye kuwa mwalimu wa university. huyu jules kibens kazi yake aliianza katika album ya internet, anti terro na ya kipe ya yo kwani huyu ndiye hurekebisha nyimbo zote za wenge bcbg, nani aimbe mstari gani, atamke matamshi gani na sauti ikaeje. kwa wale tuliohudhuria ujio wa wenge bcbg dar walipopiga pale leaders club mtakubaliana na mimi. mwisho kabisa nitakuwa namkosea hata mwenyezi mungu nisipomtaja makamu mkurugenzi wa bendi ya wenge bcbg na ambaye pia kwa sasa ndiye mpiga drums mkuu aitwae serge mignon maniata. utamu wote wa nyimbo za wenge bcbg unaanzia kwa huyu jamaa na ndiye kipenzi mkuu wa rais wa bendi ya wenge bcbg jean bedele tshituka mpiana na ukiona mwanamuziki yoyote wa wenge bcbg amefukuzwa bendini basi ujue serge mignon maniata ndiyo kasababisha. kwa mfano hata kuondoka kwa waimbaji mahiri chai ngege na djino equalizer kulitokana na huyu mpiga drums. jb mpiana hamwamini mtu yoyote zaidi ya huyu serge mignon maniata na hata mic ya kuimbia hukaa nayo yeye na maji ya kunywa ya jb mpiana huyu jamaa ndiyo huyatunza. katika upande wa kughani ( kurapu ) au wenyewe wakongo huita atalaku kwa kifaransa husema animateur kwa sasa ndani ya wenge bcbg hakuna ubishi kuwa gentamycine lisimo na mwenzake cellulaire vanga ndiyo injini ya wenge bcbg huku vijana wengine chipukizi akina pajo na bin laden nao wakija juu. mkuu ukiitaja tu wenge bcbg basi ujue umegusa mshipa wangu wa fahamu ulio timilifu kwani nahisi hata girlfriend wangu simpendi kama ninavyoipenda hii bendi ya wenge musica bcbg.
 
Nashukru wadau kwa kunogesha hii posti pia nimefurahi kwa kuwa member mwezangu kwa JB ila kuondoka kwa Chay Ngenge Ibuba mwanagu kumetukosti sana. Nilikuwa Kampala wiki jana ndipo baada ya kilichonipeleka huko nikaa na Wakongo ambao wengi wameajiriwa hapo Kampala madukani kwa vile wanachapia kiswahili kwa wateja. Niliwauliza kwanini Ibuba kamtosa JB wakadai JB ana dharau sana pia hata kule kujiita Motopamba huwa ni kuwasimaga masikini pia nilikuwa sijui kama motopamba ni tusi siku moja rafiki yangu mmoja anaishi Kasai Kongo nilimwita Motopamba nusra ani block kwa kuniambia nisirudie tena hilo tusi. Huwa nikisikiliza kibao Indentite d'amour namna Chay Ngenge anavyolalamika duu natamani sana arudi kundini.

japo ni mwana wenge musica bcbg mwenzangu na nimefurahi kukufahamu ila napenda nikurekebishe kidogo sehemu fulani mkuu. hivi unaposema jb mpiana ana dharau utamweka wapi mopao mokonzi koffi olomide? dharau kwa wakongo ni kama vile chupi na tako na ili uliamini hili waangalie tu hata hawa wacongo tulionao hapa bongo akina nyoshi, patcho mwamba na christian bella. katika hili naomba ututake radhi sisi pro-jb mpiana. a.k.a ya motopamba siyo tusi kama ulivyoaminishwa bali maana yake ni mvaaji mzuri na anayevutia na ndiyo maana utaona kila wakati wa onyesho la " live " jb mpiana akiwa tu anapanda jukwaani utawasikia marepa wake mahiri gentamycine lisomo na cellulaire vanga wanamtaja sana kwa kuita " moto pamba " halafu yeye jb mpiana anazishika zile nguo zake na kuwaringishia watu na hufanya hivi hasa hasa kushindana na adui yake mkubwa kimuziki koffi olomide. kuhusu jb mpiana kuwaita na kuwadharau masikini unatukosea tena adabu wafuasi wake kwani uliza congo nzima ni mwanamuziki gani mwenye kikosi maalum cha kuwatunza wanamuziki ambao baadae huja kuwapandisha katika bendi ya wakubwa na wengine huwauza katika bendi nyingine na jb mpiana si tu anakaa nao bure bali mara nyingi shows zake nyingi za ndani ya congo huwatumia sana hawa jamaa na hili kundi au hiki kikosi huitwa p.p.u na humu wametoka watu wengi sana kwa mfano huyu repa cellulaire vanga ametoka huko, kuna mpiga solo mmoja wa sasa wa wenge bcbg ambaye ni moto wa kuotea mbali anaitwa shevchenko patou solo na dogo mmoja muimbaji anaitwa nono fuji ambao wapo wenge bcbg huku mwingine akiwa ni repa mahiri wa sasa wa koffi olomide anaitwa gesac ambaye zamani alikuwa repa wa felix wazekwa. kuhusu huyo mkongoman huko kampala kumwita motopamba na kutaka kukupiga ni kwamba kaa ukijua kuwa hakuna nchi ambayo kuna ukanda na ukabila kama congo na jb mpiana ni mluba huku koffi akiwa ni mmanyema na werrason ni mbwiti na tambua kuwa congo nzima kimuziki inagawanywa na hawa wanamuziki wakubwa watatu wa kizazi hiki cha kati hivyo kuna uwezekano mkubwa huyo uliyemuuliza akawa ni mfuasi wa either koffi au werrason. mwisho chai ngenge hakuondoka wenge bcbg kwa sababu ya jb mpiana bali alikuwa na bifu na mpiga drums na naibu mkurugenzi wa bendi aitwae serge mignon maniata kwa kuwa wote walikuwa wanatembea ( wanambandua ) mcheza shoo mmoja mzuri na maarufu aitwae virginie bokassa. una lingine mkuu?
 
Mkimaliza kujadili.......mniambie Yondo sister yupo wapi........mama ana mauno yule........
 
Mkimaliza kujadili.......mniambie Yondo sister yupo wapi........mama ana mauno yule........

tokea mwanamuziki mwandamizi mwenzie balou canta amjaze mimba ya mapacha watatu na hapo hapo muziki kwake ukawa bye bye.
 
Mkuu nashukuru kwa kunielewesha ila sikudhamiria kudaganya. Mimi siku zote nacheki live concert za Ferre akiwa na Chikito hivyo sikufahamu kama ashajiengua. Mi chaka langu ni JB Mpiana huku Ferre nikisikiliza tu mipini yake ila kwa live concert JB ni nuksi.
NB: Hii miziki imenilazimu nirudi darasani kusoma Kifaransa kwani tangu nikue sijawahi kusikiliza Bongo fleva sijui Diamond na upuuzi mwingine. Sasa mkuu nakupa saluti ila naomba unisaidie ratiba ya JB Mpiana mwaka huu hasa December kama ana live concert maana nimedhamilia nikamcheki live Kinshasa kuondoa stress za uchaguzi huu maana tumekatwa tena.

Badala ya French......kwa nini tusijifunze kilingala.......pona nini......makambo ezali minene......?.......sala noki.....nakotunatuna........le SIDA......mwasi kitoko.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom