hahahahahh sijui kama kuna wanyama huko, nitakupa mrejesho nikirudi yangu weee troublemaker, ila sasa naogopa nisije nikawa nimejitengenezea tatio la kukamatwa na nyara za serikali hahahahahahahah au mali asili zetu
Acha uwongo mkuu kama kijiji gani hakina mtandao sema we una lako jambo kanda ya ziwa ndiyo kwetu hakuna mahali ambapo mtandao hakuna ila kama unakwenda kwa sangoma amekupa masharti hayo hapo sawa usisingizie mtandao
Acha uwongo mkuu kama kijiji gani hakina mtandao sema we una lako jambo kanda ya ziwa ndiyo kwetu hakuna mahali ambapo mtandao hakuna ila kama unakwenda kwa sangoma amekupa masharti hayo hapo sawa usisingizie mtandao