Chikawe amvua nguo Tundu Lisu Bungeni!

Chikawe amvua nguo Tundu Lisu Bungeni!

Mzalendo K

Member
Joined
Jun 22, 2012
Posts
32
Reaction score
13
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?
 
Heading ibadilishwe, Mie nilifikiria mchezo wa matusi!
 
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?

Kwa hiyo hapo ndo kamvua nguo? Acha unafki wako
 
hapa naona wewe unasikia kwa macho badla ya masikio go back usome, kasema janja ya mkuu wa wilaya na kahoji uhalali wa mkuu wilaya na kuundwa mabaraza ya katiba na umuhimu wa mibarua na nakala kwa viongozi wa ssm kuwa mjanja unakera mpaka.... badirika simba utaonekana mji...wake up boy!
 
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?

Oh WOW uliniogopesha nilidhania ALIMVUA Nguo BUNGENI Unajua Bunge la CCM
 
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?


Mzalendo??? Au mnafiki??? We umejivua nguzo mwenyewe fikiria kati ya anejivua na kuvuluiwa nguo!!!

hapa una malipo tu!! Insatiable kinyaaa mno!!!!
 
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?

umekaa kishabiki zaidi...CCM wameazimia kukataa chochote kile kutoka kwa wapinzania, regardless ni kizuri au kibaya. Hii ni mbinu ya kuilinda CCM na serikali. Bahati nzuri bunge liko wazi, hata hapa naona,tunao uwezo wa kupambanua speech ya mbunge yoyote. Kifupi wananchi tunachambua mbivu na mbichi, usijifariji kuwa unachoandika hapa ni lazima tuamini. CCM ni aibu kwa sasa, wabunge wa CCM hata kazi ya bunge hawafanyi, wanashambulia wapinzani na kutetea CCM...very poor strategy
 
huwa napata shida ninapoona ccm muda wote wanahangaika sio kuendeleza nchi, bali kupambana na wapinzani, muda wao wote mwingi wanautumia kwenye kuhangaika na vyama vya upinzani....ningekuwa ndio mimi, nanyamaza tu nafanya kwa vitendo ili vitendo viwe ushahidi, sasa hadi sasa walichokifanya tangu washita madaraka hakilingani na miaka waliyokaa, walitakiwa kufanya zaidi sana ya walivyofanya sasa, muda mwingiii kupoteza kuhangaika na watu binafsi, badala ya kuongea au kufanya mambo yenye faida kwa taifa. usione hapo amefurahi sana akirudi home kuona amemsema tundu lisu amelidanganya bunge, sio kwamba yeye leo amefanya kitu cha maana sana bungeni kwaajili ya taifa, bali " mama watoto, leo nimemkomoa kweli tundu lisu..."..hahaha.
 
Mzalendo??? Au mnafiki??? We umejivua nguzo mwenyewe fikiria kati ya anejivua na kuvuluiwa nguo!!!

hapa una malipo tu!! Insatiable kinyaaa mno!!!!

The word that fits this thing (he can't be a person) is a TURNCOAT!
 
Back
Top Bottom