Chikawe akanusha kuhusu watuhumiwa kulawitiwa

lendila

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
5,806
4,370
Akiwa anajibu swali la Mbunge wa CUF kuhusu viongozi wa dini kulawitiwa gerezani, waziri Chikawe alikanusha viongozi hao wa dini kufanyiwa vitendo hivyo kwa kuwa watuhumiwa hao waliletwa mahamani zaidi ya mara tatu bila kulalamika, wakaja kulalamika mara ya nne baada ya kufikisha mahakamani.

Hata hivyo Waziri Chikawe amelidhibitishia bunge kuwa watuhumiwa hao watapelekwa hospital ya Amana Na Muhimbili kuchunguzwa afya zao. Vilevile watafuatiliwa mienendo yao kabla ya kupelekwa Polisi kama ilikua mizuri.
 
Hivi hawa masheikh si walifanya makosa huko Zanzibar (nchi kwa mujibu wa wabunge wa CUF & CCM Zanzibar) iweje waletwe nchi nyingine kuhukumiwa ina maana Zanzibar hakuna majaji au wanataaluma ya sheria wa kutosha ?.
 
Sasa wewe ulitaka mashehe wakisema wamelawitiwa serikali isichunguze?

Uchunguzi ni muhimu sana lkn kusema pengine huko nyuma inawekana walikuwa na hizo tabia kabla ya uchunguzi kufanyika ni dhambi kubwa sana, angesubiri uchunguzi ukamilike kwanza
 
Uchunguzi ni muhimu sana lkn kusema pengine huko nyuma inawekana walikuwa na hizo tabia kabla ya uchunguzi kufanyika ni dhambi kubwa sana, angesubiri uchunguzi ukamilike kwanza

Ndio maana akasema 'pengine'. Anamaana hana uhakika. Na uchunguzi utabainisha kama Mashehe walikuwa wanaliwa au la! Hujaelewa nini hapo?
 
Kuliwa kwa masheh ni haramu, labda kama wanafamiana inawekana akujua siri zao za huko nyuma
 
Team Lumumba mpo wapi? Ritz Mingoi Lizaboni
Haya ndio majibu ya serikali yenu tukufu.

Mashehe wamewekewa vijiti?

Hoja nzito kwa majibu mepesi
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1415780228824.jpg
    1415780228824.jpg
    8.6 KB · Views: 625
Back
Top Bottom