Swali linakuja je ameshawahi kuongoza ai kusaidia jamii yoyote?
Swissme
Namkumbuka tulikunywa nae safari Hotel miaka ya 80's.
Alikuwa na uniform za jeshi anavua mkanda,kofia,boot,
daaah ana roho nzuri,tulikuwa tunakeshaga.
Ona mdomo ulivyo mwekundu sababu ya Gongo
Hata wampe kifimbo hawezi kushinda watanzania tumechafuka hatuwezi kuongozwa na kifimbo sisi sio man,gombe
huyu jamaa atawasumbua sana wapinzani mwaka huu kwenye uchaguzi mkuu.huyu ndiye chaguo la ccm.time will tell.
Maakongoro anafaa sana kwani anayajua maisha ya aina zote na siasa zote,kakutana na shughuri pevu ya kagera war,kazaliwa ukoo wa kichief làkini kaishi kama mie na wewe,kajiweni na mtaani(site)anapaelewa nje ndani,
siasa zote mpaka za wapinzani kazifanya,huyu ndo anayetufahaa,real man.Ni sawa na unapompata waziri Wa elimu ambaye kasoma kote,private na public,day na boarding n.k.Utamficha nini,utamzunguka vipi? ...a.k.a mzee Wa falsafa.