CHIEF MSWATI

Sasa hapo bahati mbaya akatokea pisi kali afu mzee akadinda inakuwaje tafarani yake ?!

Hiyo ni kujitoa ufahamu. Watu miaka hiyo walivaa hivi sababu hakukuwa na mavazi, dunia imeendelea wanadamu tunazidi kuwa wamoja why uhangaike na identity za kipuuzi kama hii ya kukaa uchi ili kuprove we ni wa tofauti na wakati hiyo ina maanisha umeamua kuwa na fikra mgando kwa jambo ambalo halina msaada kwako na kwa kizazi chako zaidi ya kukidumaza kisiendelee .
 
hao hawadindishi hovyo kama sisi,nchini kwake wanawake wapo uchi maziwa na makalio nje kila muda
 
When in Rome do as Romans..., Ukienda sehemu ukaleta utofauti wote sana unaweza ukawa kero kwa wengine; Sisemi ubadilike bali within reasons try to intermingle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…