Chidi Benz Ft Raymond - Chuma Official Audio - YouTube

Chidi Benz Ft Raymond - Chuma Official Audio - YouTube

Beat haijampendeza Chid, Babu tale na Fella likija swala la Hip Hop wawashirikishe producers wengine, sababu Shirko na Laizer hawawezi hii midundo, chek hii ngoma na ile ya Getu tararira, mbaya sababu ya beats
aysee hakuna ngoma ya Chid nnayoielewa kama NATUBU...hivi ile beat alinyonga nani?ni boniluv ama?
 
Beat haijampendeza Chid, Babu tale na Fella likija swala la Hip Hop wawashirikishe producers wengine, sababu Shirko na Laizer hawawezi hii midundo, chek hii ngoma na ile ya Getu tararira, mbaya sababu ya beats

Nadhani Pancho angefanya kitu endapo angepewa hii kazi. Aliitendea haki sana ile Dar stand up...
YNWA
 
Ngoma kali mno.....wengi huenda wasiielewe kwa kutaka Chid afanye ngumu kama mwanzo na wamesahau kuwa sasa hivi jamaa yupo katika lebel inayofanya mziki wa kibiashara.

Verse ya mwisho hapo jamaa kaanza kuimba hivyo si ajabu ngoma zinazofuata jamaa akaanza kugonga za kinaija, hapo wakongwe wanaoendesha mziki wa kibongo wamesha plan na huwa hawakosei.......wengi waliponda wimbo wa Imebaki story wa Rich mavoko kuwa hauna kiwango lakini kwa kuwa yupo kwa mafundi wa game ya bongo, tazama sasa unavyokimbiza.........hivyo msitegemee Chid asimame katika mziki au beat ambazo huishia kuleta sifa tu bila noti.
Amkeni game imeshahama.
 
Mmmh sio mbaya,a man nvr gives up!Pigana mpaka mwisho kitaeleweka tu,kipaji ni kama kujua kuendesha baiskeli bhana!
 
Chidi akitaka arudi moja kwa moja wampe atoe ngoma na Platnumz, huyu sijui nani mziki wake bado.

Chidi na Platnumz wakija na nyimbo ya style mpya jamaa na rap yake mix na vionjo vya platnumz watatisha balaa. Ila wasikomae kutoa kama hii ya psquare, waje kiafrika zaidi.
 
Back
Top Bottom