Sazira kwetu
Senior Member
- Aug 23, 2015
- 155
- 104
Habri za leo wana jukwaa?
Nilejee kwenye mada, mwaka jana nilibahatika kupata msichana ambae nilianzisha nae mahusiano ktk harakati za kukoleza mahusiano yetu akadai hawezi nipa tunda mpaka atakapojua hari ya afya yangu, hivyo akapendekeza twende tukapime kama tuna maambukizi ya virus vya UKIMWI ama la.
Nami nikaona jambo jema na la kupendeza ila kabla ya kwenda kupima kaniomba hela ya kusikia nami nikatoa na tukapanga siku ya kwenda kupima.
Siku ya kupima tukaongozana wote mpaka angaza tukafika tukapewa namba na kusubili kuitwa kwenda kupimwa huku tukiangalia tv yenye vipindi vya kuonye adhari na madhara ya UKIMWI.
Mda wa kupima ukafika tukaitwa mmoja baada ya mwingine kufuatana na namba yako uliyopewa.
Wakati wa kupokea majibu ndio ulikuwa mtihan mkubwa kwa bibie, ile tunaitwa tulipofika tukaulizwa je mnataka kuchukua majibu kwa pamoja?
Jibu alilolitoa bibie likaniduwaza na hata mshauri nasaha akastaaju akasema kila mmoja apewe majibu yake, kiukweli nilichukia na kuamua kuondoka.
Mahusiano yakaishia hapo.
Nilejee kwenye mada, mwaka jana nilibahatika kupata msichana ambae nilianzisha nae mahusiano ktk harakati za kukoleza mahusiano yetu akadai hawezi nipa tunda mpaka atakapojua hari ya afya yangu, hivyo akapendekeza twende tukapime kama tuna maambukizi ya virus vya UKIMWI ama la.
Nami nikaona jambo jema na la kupendeza ila kabla ya kwenda kupima kaniomba hela ya kusikia nami nikatoa na tukapanga siku ya kwenda kupima.
Siku ya kupima tukaongozana wote mpaka angaza tukafika tukapewa namba na kusubili kuitwa kwenda kupimwa huku tukiangalia tv yenye vipindi vya kuonye adhari na madhara ya UKIMWI.
Mda wa kupima ukafika tukaitwa mmoja baada ya mwingine kufuatana na namba yako uliyopewa.
Wakati wa kupokea majibu ndio ulikuwa mtihan mkubwa kwa bibie, ile tunaitwa tulipofika tukaulizwa je mnataka kuchukua majibu kwa pamoja?
Jibu alilolitoa bibie likaniduwaza na hata mshauri nasaha akastaaju akasema kila mmoja apewe majibu yake, kiukweli nilichukia na kuamua kuondoka.
Mahusiano yakaishia hapo.