Chezea Mwalimu uwe taahira milele....

Chezea Mwalimu uwe taahira milele....

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,149
Reaction score
43,090
Baada ya mgomo wa waalimu kuwa batili, Waalimu sasa wanaamua kuwalisha sumu wanafunzi...
Mwanafunzi: please maadam how many types of coffee do we have in Africa?
Teacher: (kwa hasira) Two...
1.coffee annan
2.coffee olomide
Chezea Mwalimu uwe taahira maisha yako yote...
 
Mwalimu yuko sahihi kabisa huwenda yeye alidhani watu wenye majina ya coffee
 
Back
Top Bottom