Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,144
- 159,061
Kwakweli bado kidogo.Arudi akung'utwe kidogo mpaka akili ikae sawa. Hapa bado kidogo.
Kwakweli bado kidogo.Arudi akung'utwe kidogo mpaka akili ikae sawa. Hapa bado kidogo.
Vyeti hutolewa viwili he kachana vyote?Jamani wanasheria mume ameficha cheti cha ndoa naisi cheti amekichana VIP naweza pata kingine ndoa ilifungwa bomani ,ili niweze fatilia talaka rasmi na matunzo ya mtoto,nimebaki sins ushahid in ndoa ya miaka 4
Huku hakuna kushitaki ni kuiomba mahakama.Kwani haiwezekani kumshitaki hivyohivyo? Mbona huku kwetu kuna mtu kamshtaki bwana wake....
ohoooooooooooooooHuyo wa kwenu alimshitaki bwana wake, ila huyu anataka kumshitaki Mume wake.
Sent using Jamii Forums mobile app