Cheti cha kukusaidia usilipe ushuru bandarini

changman

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
229
90
Habari wanajamvi

Naomba kuelimishwa kidogo. Nasikia kuna mamlaka za kiserikali wanatoa vyeti maalumu kwa makampuni ili kuyawezesha kuingiza bidhaa nchini bila kutozwa ushuru bandarini, bidhaa mfano magari, matrekta na mashine mbalimbali. Mwenye uelewa huo tuelimishane
 
Excemption ya Tanzania Investment Center (TIC) ni Tax incentive ambayo unapata siyo tu kwa kuagiza vogue enje hata bidhaa za ndani .... wanakuondolea VAT .... lazima ujisajili kama mwekezaji
 
Excemption ya Tanzania Investment Center (TIC) ni Tax incentive ambayo unapata siyo tu kwa kuagiza vogue enje hata bidhaa za ndani .... wanakuondolea VAT .... lazima ujisajili kama mwekezaji

Ukiacha kuwa mwekezaji, ni vigezo gani vingine inabidi uwe navyo ili kupata hiyo certificate?
 
Habari wanajamvi

Naomba kuelimishwa kidogo. Nasikia kuna mamlaka za kiserikali wanatoa vyeti maalumu kwa makampuni ili kuyawezesha kuingiza bidhaa nchini bila kutozwa ushuru bandarini, bidhaa mfano magari, matrekta na mashine mbalimbali. Mwenye uelewa huo tuelimishane

taasisi za dini, donor funded project (dfp), watumishi wa serikali kwa mara ya kwanza, diplomatic & diplomatic mission, EPZ & SEZ, hospitals, hotels(kinachoagizwa lazima kiwe kwa matumizi ya hosptal/hotel eg bed, furniture ambulance etc). Kwa haraka nakumbuka hyo list, ina vitu vingi zaidi ya hapo.nikipata muda nita-paste toka EAC-CMA
 
Hebu wanaojua zaidi watujuze! Maana kulikuwa na mkanganyiko kwamba exemption imefutwa. Zamani NGOs zote na taasisi za dini zilikuwa zinapata exemption kila walipotaka kuingiza mizigo kutoka nchi za nje!
 
taasisi za dini, donor funded project (dfp), watumishi wa serikali kwa mara ya kwanza, diplomatic & diplomatic mission, EPZ & SEZ, hospitals, hotels(kinachoagizwa lazima kiwe kwa matumizi ya hosptal/hotel eg bed, furniture ambulance etc). Kwa haraka nakumbuka hyo list, ina vitu vingi zaidi ya hapo.nikipata muda nita-paste toka EAC-CMA

Aisee unaweza nitumia hiyo link yenye hizo list?
 
Back
Top Bottom