Habari wanajamvi
Naomba kuelimishwa kidogo. Nasikia kuna mamlaka za kiserikali wanatoa vyeti maalumu kwa makampuni ili kuyawezesha kuingiza bidhaa nchini bila kutozwa ushuru bandarini, bidhaa mfano magari, matrekta na mashine mbalimbali. Mwenye uelewa huo tuelimishane
Naomba kuelimishwa kidogo. Nasikia kuna mamlaka za kiserikali wanatoa vyeti maalumu kwa makampuni ili kuyawezesha kuingiza bidhaa nchini bila kutozwa ushuru bandarini, bidhaa mfano magari, matrekta na mashine mbalimbali. Mwenye uelewa huo tuelimishane