Kumbe kweli bora Uzinzi uanze kabla ya kuoa au kuolewa kuliko ukianza baada namake una wehuka vibaya,haya makelele ya nini kama unachinjwa? raha yako weye inakua karaha kwa wenzio walokodi hapo hotel,unaisikilizia kiasi hicho? ebu fanya Kaka urudi nyumbani fanya pole pole haiondoki hiyoooooooooooooo....ipo..lol