Cheo kipi ni kikubwa kati ya Balozi na Director General

koryo

JF-Expert Member
Jun 21, 2010
639
278
Nawauliza Ndugu zangu wana JF kuwa Balozi na kuwa Director General wa Shirika kama LAPF, kati ya hizo kipi ni cheo kikubwa?
 
Ukishateuliwa kuwa balozi ujue umefichwa na kinachosubiriwa Ni kifo cha kisiasa otherwise tuwasubiri watu wa promotion and demotion they will clarify about this.
 
Ukishateuliwa kuwa balozi ujue umefichwa na kinachosubiriwa Ni kifo cha kisiasa otherwise tuwasubiri watu wa promotion and demotion they will clarify about this.
Mkuu, Jibu lako sahihi kabisa.... Unasahauliwa na kuondolewa machoni usichafuwe hewa !!!
koryo umesikia jibu la uhakika!!... Ukiwa D/G unakuwa active na kuwa na maamuzi ya kupanuwa masilahi....
 
Nawauliza Ndugu zangu wana JF kuwa Balozi na kuwa Director General wa Shirika kama LAPF, kati ya hizo kipi ni cheo kikubwa?
Hivi ofisi ya balozi ina wafanyakazi wanaozidi hata kumi? Mkurugenzi mkuu anaongoza kurugenzi zenye wakurugenzi na chini yao mameneja na wasaidizi lukuki. Mkurugenzi mkuu yeye ndiye anayekusanya na kupanga namna ya kuzitumia kwa manufaa ya shirika au ya kwake; balozi atasubiri mafungu yatumwe yasipowahi ni sawa tuu na wafanyakazi wa reli ya Tanzania wanavyosubiria mshahara
 
Nawauliza Ndugu zangu wana JF kuwa Balozi na kuwa Director General wa Shirika kama LAPF, kati ya hizo kipi ni cheo kikubwa?

Hapana shaka kuwa DG wa shirika kubwa kama LAPF au NSSF ni cheo kikubwa kuliko balozi. Lakini ikiwa DG amestaafu au anakaribia na kupelekwa kuwa balozi hiyo haina shaka. Hata kwa wanajeshi ni hivyo hivyo Jenerali ni cheo kikubwa kuliko balozi. The former Chief of Staff, Lt. Gen. Shimbo alipelekwa kuwa balozi huko china kwa kuwa tayari alikuwa amestaafu jeshi, kwa hiyo hakuna shida.
 
Hivi ofisi ya balozi ina wafanyakazi wanaozidi hata kumi? Mkurugenzi mkuu anaongoza kurugenzi zenye wakurugenzi na chini yao mameneja na wasaidizi lukuki. Mkurugenzi mkuu yeye ndiye anayekusanya na kupanga namna ya kuzitumia kwa manufaa ya shirika au ya kwake; balozi atasubiri mafungu yatumwe yasipowahi ni sawa tuu na wafanyakazi wa reli ya Tanzania wanavyosubiria mshahara
Ukitaka kujua Barozi na DG nani mkubwa waulize wale waliokuwa mabarozi tena Ulaya lakini walipoona ubarozi haulipi waliamua kurudi na kugombea ubunge potelea mbali hata kama watakosa uwaziri. Tanzania tuna mabarozi wengi sana, je ni wangapi unawajua. Kuna jenereli mmoja aliwahi kupewa ubarozi, tangu hapo sijawahi kumsikia tena na wala sijui kama anaendelea na ubarozi wake au ndo asharudi. Kifupi ukiwa barozi unakuwa total isolated.
 
Nimeshukuru sana kwa majibu yenu. Mimi nimewahi kwenda Masomoni Washington wakati wa Marehemu C.Nyirabu nilibahatika kwenda kwenye Ubalozi wetu. Pale walikuwa kama watumishi wanane na gari zuri nililoliona lilikuwa gari moja tu. Ni watu waliokata tamaa na hawakutaka hata kutukaribisha majumbani kwao sijui ni kwa nini. Ni afadhali kufanya kazi nyumbani kuliko kufanya Ubalozini. Hapa unaweza kujishugulisha na ujasiriamali.
 
Ukitaka kujua Barozi na DG nani mkubwa waulize wale waliokuwa mabarozi tena Ulaya lakini walipoona ubarozi haulipi waliamua kurudi na kugombea ubunge potelea mbali hata kama watakosa uwaziri. Tanzania tuna mabarozi wengi sana, je ni wangapi unawajua. Kuna jenereli mmoja aliwahi kupewa ubarozi, tangu hapo sijawahi kumsikia tena na wala sijui kama anaendelea na ubarozi wake au ndo asharudi. Kifupi ukiwa barozi unakuwa total isolated.

Ni Balozi na siyo Barozi
 
Hivi ofisi ya balozi ina wafanyakazi wanaozidi hata kumi? Mkurugenzi mkuu anaongoza kurugenzi zenye wakurugenzi na chini yao mameneja na wasaidizi lukuki. Mkurugenzi mkuu yeye ndiye anayekusanya na kupanga namna ya kuzitumia kwa manufaa ya shirika au ya kwake; balozi atasubiri mafungu yatumwe yasipowahi ni sawa tuu na wafanyakazi wa reli ya Tanzania wanavyosubiria mshahara
Halafu mjue anaweza pelekwa hapo Zimbabwe tu
 
Ndio maana nilishauri Dau aukatae huu uteuzi, ataajiriw hata sekta binafsi na huo udini wake
 
Binadamu binadamu binadamu ...
ImageUploadedByJamiiForums1455634717.974339.jpg
 
Hapana shaka kuwa DG wa shirika kubwa kama LAPF au NSSF ni cheo kikubwa kuliko balozi. Lakini ikiwa DG amestaafu au anakaribia na kupelekwa kuwa balozi hiyo haina shaka. Hata kwa wanajeshi ni hivyo hivyo Jenerali ni cheo kikubwa kuliko balozi. The former Chief of Staff, Lt. Gen. Shimbo alipelekwa kuwa balozi huko china kwa kuwa tayari alikuwa amestaafu jeshi, kwa hiyo hakuna shida.
Sasa Dau akistaafu atalipwa stahili za NSSF au za Serikali kuu?
 
Back
Top Bottom