mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
Hakunaga kitu kinaniuma kama kumuachia konda chenji yangu hata ikiwa sh 50 na sijui kwanini yaani hata nikiwa nimetoka kupiga dili la milioni kumuachia konda da inaniuma sana yaani no bora niiche kwa mangi tu dukani !! Hivi hii situation ni kwangu tu au hata na wewe mwana jf mwenzangu ..kwanini tunadai sana chenji zetu ni bora ukaitupe kuliko kumuachia konda !!! Tatizo ni nini haswa !!
Karibuni
Karibuni