Inaboa sana kuwa na mwanamke mwenye utambuzi mdogo hata kama ana tabia nzuri

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
22,011
52,654
Aisee kataa ndoa sometimes nawaelewa Fulani ila nyie sababu yenu haswa Huwa haina mantiki Mimi yangu ni spesheli.

Binafsi Mimi Huwa sipendi mwanamke msahaulifu wa mambo na ukimuhoji kwanini anasahau anajibu kwamba kichwani mambo mengi wakati hatafuti hela kila kitu unatafuta mwanaume..

Yaani naposema msahaulifu namaanisha uwezo mdogo wa akili.mfano labda ili nieleweke kirahisi utoaji chenji dukani mtu mwenye akili anajua kabisa bidhaa ya 1700 mtu akitoa 5000 basi chenji ni 3300 ila mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiria lazima apige hesabu kwenye calculator..

Shida ni kwamba kipindi cha mwanzo wa mahusiano mahaba huwa mengi mixer mabusu na madenda so unakuwa udhaifu ule huujui..hata kama asijue mengi ila asiwe anasahau MAMBO ya msingi.
 
Aisee kataa ndoa sometimes nawaelewa Fulani ila nyie sababu yenu haswa Huwa haina mantiki Mimi yangu ni spesheli.

Binafsi Mimi Huwa sipendi mwanamke msahaulifu wa mambo na ukimuhoji kwanini anasahau anajibu kwamba kichwani mambo mengi wakati hatafuti hela kila kitu unatafuta mwanaume..

Yaani naposema msahaulifu namaanisha uwezo mdogo wa akili.mfano labda ili nieleweke kirahisi utoaji chenji dukani mtu mwenye akili anajua kabisa bidhaa ya 1700 mtu akitoa 5000 basi chenji ni 3300 ila mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiria lazima apige hesabu kwenye calculator..

Shida ni kwamba kipindi cha mwanzo wa mahusiano mahaba huwa mengi mixer mabusu na madenda so unakuwa udhaifu ule huujui..hata kama asijue mengi ila asiwe anasahau MAMBO ya msingi.
Wanaume sijui hata mnatakaga nini
 
Aisee kataa ndoa sometimes nawaelewa Fulani ila nyie sababu yenu haswa Huwa haina mantiki Mimi yangu ni spesheli.

Binafsi Mimi Huwa sipendi mwanamke msahaulifu wa mambo na ukimuhoji kwanini anasahau anajibu kwamba kichwani mambo mengi wakati hatafuti hela kila kitu unatafuta mwanaume..

Yaani naposema msahaulifu namaanisha uwezo mdogo wa akili.mfano labda ili nieleweke kirahisi utoaji chenji dukani mtu mwenye akili anajua kabisa bidhaa ya 1700 mtu akitoa 5000 basi chenji ni 3300 ila mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiria lazima apige hesabu kwenye calculator..

Shida ni kwamba kipindi cha mwanzo wa mahusiano mahaba huwa mengi mixer mabusu na madenda so unakuwa udhaifu ule huujui..hata kama asijue mengi ila asiwe anasahau MAMBO ya msingi.
Mwambie aweke nearest figure,endelea na kazi ya kuzagamua
 
Aisee kataa ndoa sometimes nawaelewa Fulani ila nyie sababu yenu haswa Huwa haina mantiki Mimi yangu ni spesheli.

Binafsi Mimi Huwa sipendi mwanamke msahaulifu wa mambo na ukimuhoji kwanini anasahau anajibu kwamba kichwani mambo mengi wakati hatafuti hela kila kitu unatafuta mwanaume..

Yaani naposema msahaulifu namaanisha uwezo mdogo wa akili.mfano labda ili nieleweke kirahisi utoaji chenji dukani mtu mwenye akili anajua kabisa bidhaa ya 1700 mtu akitoa 5000 basi chenji ni 3300 ila mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiria lazima apige hesabu kwenye calculator..

Shida ni kwamba kipindi cha mwanzo wa mahusiano mahaba huwa mengi mixer mabusu na madenda so unakuwa udhaifu ule huujui..hata kama asijue mengi ila asiwe anasahau MAMBO ya msingi.
Mkiwachoka hao wadada mnakuwa na maneno ya shombo sana, kitumia kwake calculater huoni kwamba yupo makini kiasi gani?.
 
Aisee kataa ndoa sometimes nawaelewa Fulani ila nyie sababu yenu haswa Huwa haina mantiki Mimi yangu ni spesheli.

Binafsi Mimi Huwa sipendi mwanamke msahaulifu wa mambo na ukimuhoji kwanini anasahau anajibu kwamba kichwani mambo mengi wakati hatafuti hela kila kitu unatafuta mwanaume..

Yaani naposema msahaulifu namaanisha uwezo mdogo wa akili.mfano labda ili nieleweke kirahisi utoaji chenji dukani mtu mwenye akili anajua kabisa bidhaa ya 1700 mtu akitoa 5000 basi chenji ni 3300 ila mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiria lazima apige hesabu kwenye calculator..

Shida ni kwamba kipindi cha mwanzo wa mahusiano mahaba huwa mengi mixer mabusu na madenda so unakuwa udhaifu ule huujui..hata kama asijue mengi ila asiwe anasahau MAMBO ya msingi.
Note kama sehemu ya udhaifu wake, tafuta sehemu alizo imara kisha zi note pia fanya comparison, tumia hizo hizo data za mtu wako kurelate na mahusiano ya jamaa zetu kwa jamii ya sasahivi km itakufaa, then make decisions
 
Aisee kataa ndoa sometimes nawaelewa Fulani ila nyie sababu yenu haswa Huwa haina mantiki Mimi yangu ni spesheli.

Binafsi Mimi Huwa sipendi mwanamke msahaulifu wa mambo na ukimuhoji kwanini anasahau anajibu kwamba kichwani mambo mengi wakati hatafuti hela kila kitu unatafuta mwanaume..

Yaani naposema msahaulifu namaanisha uwezo mdogo wa akili.mfano labda ili nieleweke kirahisi utoaji chenji dukani mtu mwenye akili anajua kabisa bidhaa ya 1700 mtu akitoa 5000 basi chenji ni 3300 ila mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiria lazima apige hesabu kwenye calculator..

Shida ni kwamba kipindi cha mwanzo wa mahusiano mahaba huwa mengi mixer mabusu na madenda so unakuwa udhaifu ule huujui..hata kama asijue mengi ila asiwe anasahau MAMBO ya msingi.
Hii kwa wote
 
Kabisa mimi bia napenda mwanamke mtata kama Jadda
Hahaha mimi siyo mtata bana ila tu nachukia wanaume wanaopenda kuwatupia lawama wanawake kwa ujinga wao wenyewe, halafu nimegundua kwa sisi ngozi nyeusi ukimchallenge mtu halafu akashindwa kujibu hoja zako automatically kwake unakuwa mjuaji, ndio maana wanaume wengi wanataka wanawake wa kila kitu "ndio mzee" ili wasiwachallenge kusudi wawapelekeshe vizuri
 
Aisee kataa ndoa sometimes nawaelewa Fulani ila nyie sababu yenu haswa Huwa haina mantiki Mimi yangu ni spesheli.

Binafsi Mimi Huwa sipendi mwanamke msahaulifu wa mambo na ukimuhoji kwanini anasahau anajibu kwamba kichwani mambo mengi wakati hatafuti hela kila kitu unatafuta mwanaume..

Yaani naposema msahaulifu namaanisha uwezo mdogo wa akili.mfano labda ili nieleweke kirahisi utoaji chenji dukani mtu mwenye akili anajua kabisa bidhaa ya 1700 mtu akitoa 5000 basi chenji ni 3300 ila mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiria lazima apige hesabu kwenye calculator..

Shida ni kwamba kipindi cha mwanzo wa mahusiano mahaba huwa mengi mixer mabusu na madenda so unakuwa udhaifu ule huujui..hata kama asijue mengi ila asiwe anasahau MAMBO ya msingi.
Umenikumbusha! Tulikuwa tunapiga story na X wangu mmoja, nkagundua hajui mambo mengi sana though ni graduate na degree yake!
Hajui hata 7 mara 8 ni ngapi! Dakika 2 bado anatafuta jibu, nikajua tu simuwezi kwa kweli maana sina hela za ziada kulipa walimu kumfundisha mtoto tuition akirithi akili za mama yake.
 
Mimi mwanamke hata awe pisi kiasi gani kama upstairs ni empty aisee hapana. Huwa navutiwa sana na mwanamke ambaye yuko smart na anajua mambo mengi nje ya eneo lake la kitaaluma. Mkichoka kupiga umbea mnahamia kwenye madhara ya tariffs za Trump kwenye uchumi wa dunia. Vita vya Ukraine. Akili mnemba na huko tuendako. Demokrasia ndiyo-siyo ya nchi za Kiafrika. Falsafa. Relativity vs. Quantum Mechanics. Mungu na Maajabu yake. Plate Tectonics. Gunduzi mbalimbali. Ujasiriamali. Mapenzi....yaani karibu kila kitu mtoto angalau ana cha kuchangia.

Hii ndiyo sababu kuu ninayompendea Mama E. Na tunaweza tukakesha tunapiga stori kuhusu mambo mbalimbali bila kuchoka. Sasa unakuta pisi inachojua ni ndoa ya Manara tu basi vinginevyo mnabaki mnatazamana. Ukitaka uende kwa washikaji kijiweni ukabadilishe mawazo angalau eti inanuna. Sasa ukiwa ndiyo umeoa pisi ya aina hii na tako limeshakuchosha, utafanyeje?

Kwangu mimi:

1. Smartness (40%)
2. Tako (25%)
3. Tabia (20%)
3. Mamiguu (10%)
4. Sura (5%)

images (13).jpeg
 
Aisee kataa ndoa sometimes nawaelewa Fulani ila nyie sababu yenu haswa Huwa haina mantiki Mimi yangu ni spesheli.

Binafsi Mimi Huwa sipendi mwanamke msahaulifu wa mambo na ukimuhoji kwanini anasahau anajibu kwamba kichwani mambo mengi wakati hatafuti hela kila kitu unatafuta mwanaume..

Yaani naposema msahaulifu namaanisha uwezo mdogo wa akili.mfano labda ili nieleweke kirahisi utoaji chenji dukani mtu mwenye akili anajua kabisa bidhaa ya 1700 mtu akitoa 5000 basi chenji ni 3300 ila mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiria lazima apige hesabu kwenye calculator..

Shida ni kwamba kipindi cha mwanzo wa mahusiano mahaba huwa mengi mixer mabusu na madenda so unakuwa udhaifu ule huujui..hata kama asijue mengi ila asiwe anasahau MAMBO ya msingi.
MtengeneZe utakavyo mbwa wewe, usimdharirishe mtu anaekupa mauno, biblia inasema aziniye na mwanamke hana akili kabisaa, wewe ndio huna akili mxiuuu
 
Back
Top Bottom