Chenji kurudishwa Ikulu; Mfumo wa fedha za serikali umebadilishwa lini?

tanga kwetu

JF-Expert Member
May 12, 2010
2,193
1,434
Miaka yangu michache ya utumishi wa umma (miaka nane) nilikuwa nikishuhudia ofisi za serikali ifikapo June mwishoni huwa zinarejesha pesa iliyobaki hazina. Yaani kama hazikutumika kwa sababu yoyote ile. Niliona ipo maantiki kuzirejesha hazina maana ndipo zilipotokea.

Sasa naona kumezuka mtindo wa baadhi ya ofisi za umma (so far ni bunge na Tume ya Taifa ya Uchaguzi,NEC) kurejesha fedha Ikulu pesa iliyobaki hata kabla ya mwaka wa fedha hujaisha i.e 31/6/2016.

Hapa sipingi "chenji" kurejeshwa, bali nashangaa ni vipi zinarejeshwa Ikulu. Sijaona waraka wa hazina unaoelezea haya mabadiliko.

Naomba mwenye kujua anijuze juu ya haya mabadiliko kama yapo.
 
Miaka yangu michache ya utumishi wa umma (miaka nane) nilikuwa nikishuhudia ofisi za serikali ifikapo June mwishoni huwa zinarejesha pesa iliyobaki hazina. Yaani kama hazikutumika kwa sababu yoyote ile. Niliona ipo maantiki kuzirejesha hazina maana ndipo zilipotokea. Sasa naona kumezuka mtindo wa baadhi ya ofisi za umma (so far ni bunge na Tume ya Taifa ya Uchaguzi,NEC) kurejesha fedha Ikulu pesa iliyobaki hata kabla ya mwaka wa fedha hujaisha i.e 31/6/2016. Hapa sipingi "chenji" kurejeshwa, bali nashangaa ni vipi zinarejeshwa ikulu. Sijaona waraka wa hazina unaoelezea haya mabadiliko. Naomba mwenye kujua anijuze juu ya haya mabadiliko kama yapo.
haya ni mambo ya siasa,
 
Miaka yangu michache ya utumishi wa umma (miaka nane) nilikuwa nikishuhudia ofisi za serikali ifikapo June mwishoni huwa zinarejesha pesa iliyobaki hazina. Yaani kama hazikutumika kwa sababu yoyote ile. Niliona ipo maantiki kuzirejesha hazina maana ndipo zilipotokea. Sasa naona kumezuka mtindo wa baadhi ya ofisi za umma (so far ni bunge na Tume ya Taifa ya Uchaguzi,NEC) kurejesha fedha Ikulu pesa iliyobaki hata kabla ya mwaka wa fedha hujaisha i.e 31/6/2016. Hapa sipingi "chenji" kurejeshwa, bali nashangaa ni vipi zinarejeshwa ikulu. Sijaona waraka wa hazina unaoelezea haya mabadiliko. Naomba mwenye kujua anijuze juu ya haya mabadiliko kama yapo.

zitarudi hazina mkuu. sema walienda kule kupiga picha kwanza.

NEC.jpg
 
Miaka yangu michache ya utumishi wa umma (miaka nane) nilikuwa nikishuhudia ofisi za serikali ifikapo June mwishoni huwa zinarejesha pesa iliyobaki hazina. Yaani kama hazikutumika kwa sababu yoyote ile. Niliona ipo maantiki kuzirejesha hazina maana ndipo zilipotokea.

Sasa naona kumezuka mtindo wa baadhi ya ofisi za umma (so far ni bunge na Tume ya Taifa ya Uchaguzi,NEC) kurejesha fedha Ikulu pesa iliyobaki hata kabla ya mwaka wa fedha hujaisha i.e 31/6/2016.

Hapa sipingi "chenji" kurejeshwa, bali nashangaa ni vipi zinarejeshwa Ikulu. Sijaona waraka wa hazina unaoelezea haya mabadiliko.

Naomba mwenye kujua anijuze juu ya haya mabadiliko kama yapo.
Chenji lazima irudi Hazina.Ikula wanakwenda kutafuta umaarufu tu.
 
Miaka yangu michache ya utumishi wa umma (miaka nane) nilikuwa nikishuhudia ofisi za serikali ifikapo June mwishoni huwa zinarejesha pesa iliyobaki hazina. Yaani kama hazikutumika kwa sababu yoyote ile. Niliona ipo maantiki kuzirejesha hazina maana ndipo zilipotokea.

Sasa naona kumezuka mtindo wa baadhi ya ofisi za umma (so far ni bunge na Tume ya Taifa ya Uchaguzi,NEC) kurejesha fedha Ikulu pesa iliyobaki hata kabla ya mwaka wa fedha hujaisha i.e 31/6/2016.

Hapa sipingi "chenji" kurejeshwa, bali nashangaa ni vipi zinarejeshwa Ikulu. Sijaona waraka wa hazina unaoelezea haya mabadiliko.

Naomba mwenye kujua anijuze juu ya haya mabadiliko kama yapo.
Ni mbwebwe za watu tuu!! Rais anaamua peke yake juu ya matumizi ya pesa za umma si uvunjifu wa sheria huo!??
 
Miluzi mingi inawapoteza mbwa wajinga tu werevu wanaendelea na shughuli, naona Mzee Lubuva naye anaongeza idadi ya miluzi!
 
Ukishangaa haya utastaajabu ya Rais kuagiza ujenzi wa barabara ambazo hazipo kwa plan ya serikali kuu au serikali za mitaa. Yaani hata vikao vya bunge la bajeti wanavyokaa naona waache tu, jamaa ataamua kila kitu.
....hivi barabara kama ile ipo chini ya TANROADS?
 
Kesho kutwa tunaweza kushuhudia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Namanyere akipiga picha na rais kurudisha shs milioni 15 zilizokuwa zimepangwa kununua madawa na zikabaki huku zahanati zikiwa hazina dawa lakini kama kawaida gazeti la Uhuru na wafuasi wa "pigamakofi tafadhali" wakashangilia sana kwa "uzalendo" huo.
Kama nchi tumeanza kufanya mambo kama ward ya mirembe
 
Back
Top Bottom