Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Mtu smart hawezi kutoa kauli kama ile ya "vijisenti tu" kwa nchi masikini na hela kama ile.
Nawalaumu sana majambazi wa Tanzania kwa kushindwa kazi yao, wameshindwa kwenda kwa Chenge kuiba hata baada ya kualikwa kwamba huyu mtu ana mipesa ningi sana - malaki ya dola za Marekani- na zile hela zilikuwa vijisenti tu.
Nchi nyingine ukijitapa vile unatekwa nyara mpaka familia yako itoe hela.
Nawalaumu sana majambazi wa Tanzania kwa kushindwa kazi yao, wameshindwa kwenda kwa Chenge kuiba hata baada ya kualikwa kwamba huyu mtu ana mipesa ningi sana - malaki ya dola za Marekani- na zile hela zilikuwa vijisenti tu.
Nchi nyingine ukijitapa vile unatekwa nyara mpaka familia yako itoe hela.