Chenge na Tibaijuka wataigharimu CCM

Chenge na Tibaijuka wataigharimu CCM

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani. Wakati wa uchaguzi mkuu kama huu,chama kinapaswa kuwa safi na imara kama chuma cha pua. Chama cha Mapinduzi kitaathiriwa vya kutosha na sarakasi za Andrew John Chenge na Anna Kajumulo Tibaijuka juu ya sakata la Escrow. Sarakasi wanazozicheza mbele ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma chini ya Jaji Kiongozi Mstaafu,Hamisi Msumi.

CCM iliamua vyema.Ilipokea ubunifu/ushauri toka kitengo cha Itikadi/Propaganda kwamba ni vyema Chenge na Tibaijuka 'washughulikiwe' ili kukisafisha na kukinusuru chama kuelekea Oktoba. Lengo lilikuwa zuri.Ni kuwaaminisha watanzania kwa CCM hailei wakiuka maadili ya chama na kiuongozi wa nchi. Kushughulikiwa kwa Chenge na Tibaijuka kungekuwa msaada mkubwa kwa chama.

Mpango wa chama unaelekea kubuma. Kukwama hadi kiama. Matendo na maneno ya Chenge na Tibaijuka mbele ya Tume ya Jaji Msumi yanadhihirisha kukwama kwa mpango huo. Ijulikane kuwa CCM ina faili la kila mmoja wao lenye nyaraka zote. Tume ya Jaji Msumi itaishia kutoa mapendekezo ya siri kwa mamlaka za kiserikali juu ya Chenge na Tibajuka ambayo pia si msaada kwa chama.

Bado Ngeleja!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Mzee tupatupa ile picha ya "densi" sijaona comment zako. Huyu jamaa anajiita "nyoka mwenye makengeza" kwa kusema ukweli ni gharama kubwa sana kwenu ccm, lakini ni faida kwa mustakabali wa kitaifa (anasaidia bila kujua anawaunganisha watanzania kuikataa ccm) poleni lumumba
 
Naam Mkuu, umeliona hilo....Bahati Mbaya sana CCM haina Strategists wenye uwezo wa kutafakari athari za mambo mbali yanayoikabili kama changamoto za kisiasa, na hasa kwenye issue ya popularity ya Chama! Na ndio maana hukurupuka kuchukua hatua kama hizi za eti kuwawajibisha akina Chenge, na zinapokwama hurejea kwenye karata yao kuu: Mwaga Pesaa!
 
Huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani. Wakati wa uchaguzi mkuu kama huu,chama kinapaswa kuwa safi na imara kama chuma cha pua. Chama cha Mapinduzi kitaathiriwa vya kutosha na sarakasi za Andrew John Chenge na Anna Kajumulo Tibaijuka juu ya sakata la Escrow. Sarakasi wanazozicheza mbele ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma chini ya Jaji Kiongozi Mstaafu,Hamisi Msumi.

CCM iliamua vyema.Ilipokea ubunifu/ushauri toka kitengo cha Itikadi/Propaganda kwamba ni vyema Chenge na Tibaijuka 'washughulikiwe' ili kukisafisha na kukinusuru chama kuelekea Oktoba. Lengo lilikuwa zuri.Ni kuwaaminisha watanzania kwa CCM hailei wakiuka maadili ya chama na kiuongozi wa nchi. Kushughulikiwa kwa Chenge na Tibaijuka kungekuwa msaada mkubwa kwa chama.

Mpango wa chama unaelekea kubuma. Kukwama hadi kiama. Matendo na maneno ya Chenge na Tibaijuka mbele ya Tume ya Jaji Msumi yanadhihirisha kukwama kwa mpango huo. Ijulikane kuwa CCM ina faili la kila mmoja wao lenye nyaraka zote. Tume ya Jaji Msumi itaishia kutoa mapendekezo ya siri kwa mamlaka za kiserikali juu ya Chenge na Tibajuka ambayo pia si msaada kwa chama.

Bado Ngeleja!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hakuna athari yeyote kwa sababu majimboni kwao wananchi wamejaa tongotongo..nlikuwepo jimbon kwa chenge(Bariadi Magharibi) kule jamaa ni nyoka kweli kweli..mikutano yake ya hadhara ni kufuru,watu wanamshangilia mwanzo mwisho hata alipotoa kauli ya nyoka msaka pesa wasukuma wamemsifu na kumshangilia wanasema ubunge ni mali yake hadi atakapoamua kuacha mwenyewe
 
Huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani. Wakati wa uchaguzi mkuu kama huu,chama kinapaswa kuwa safi na imara kama chuma cha pua. Chama cha Mapinduzi kitaathiriwa vya kutosha na sarakasi za Andrew John Chenge na Anna Kajumulo Tibaijuka juu ya sakata la Escrow. Sarakasi wanazozicheza mbele ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma chini ya Jaji Kiongozi Mstaafu,Hamisi Msumi.

CCM iliamua vyema.Ilipokea ubunifu/ushauri toka kitengo cha Itikadi/Propaganda kwamba ni vyema Chenge na Tibaijuka 'washughulikiwe' ili kukisafisha na kukinusuru chama kuelekea Oktoba. Lengo lilikuwa zuri.Ni kuwaaminisha watanzania kwa CCM hailei wakiuka maadili ya chama na kiuongozi wa nchi. Kushughulikiwa kwa Chenge na Tibaijuka kungekuwa msaada mkubwa kwa chama.

Mpango wa chama unaelekea kubuma. Kukwama hadi kiama. Matendo na maneno ya Chenge na Tibaijuka mbele ya Tume ya Jaji Msumi yanadhihirisha kukwama kwa mpango huo. Ijulikane kuwa CCM ina faili la kila mmoja wao lenye nyaraka zote. Tume ya Jaji Msumi itaishia kutoa mapendekezo ya siri kwa mamlaka za kiserikali juu ya Chenge na Tibajuka ambayo pia si msaada kwa chama.

Bado Ngeleja!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Tupe na mpango wa magaidi wa Amboni kana ulibuma au fanikiwa.
 
Mzee tupatupa ile picha ya "densi" sijaona comment zako. Huyu jamaa anajiita "nyoka mwenye makengeza" kwa kusema ukweli ni gharama kubwa sana kwenu ccm, lakini ni faida kwa mustakabali wa kitaifa (anasaidia bila kujua anawaunganisha watanzania kuikataa ccm) poleni lumumba

Niliitwa na Mkuu Chakaza pale na kuchangia kidogo.Niliona staili tofauti za wachezaji kama zenye ujumbe pia

Mzee Tupatupa
 
Last edited by a moderator:
mkuu ccm hawana tabia ya kuwajibishana hilo utasubiri sana
 
Wenye ccm yao waliisha kufa kitambo. Wamebaki wapiga dili na wataalamu wa uprofesa wa kugawana raslimari za nchi
 
Binti yangu laki si pesa, uelewa wako ni mdogo sana.Huwezi kulijua fumbo hili.Umejaa ushabiki

Mzee Tupatupa

Na kwa tabia za huyu Binti yako usitegemee kupata kitu kinaitwa mahari hapo! Nani atakubali kuoa binti wa aina hiyo? Huyo acha akacheze kigodoro tuu. Pole mzee wetu, watoto wengine sio riziki.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom