ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
HahahahaSitaki!!!
HahahahaSitaki!!!
Ndiyo maana kwa maoni yangu naamini watz wengi hawana uwezo wa kufikiri vizuri. Hawajui wanataka nn na akili zao zinashabihiana na za kuku. Mara hii hawajishughulishi na nani aliyetufikisha hapa wanajishughulisha na anayewambia ukweli kuwa tukitaka tupate cha halali toka kwenye hii migodi basi tubadili sheriaKwenye mitandao ya kijamii mingi wanasema tatizo ni Lisu
Wewe pitia whats app group, jf, fb, twitter, etc jina ni Lisu tu linatembea utafikiri miaka hiyo ndie alikuwa mwanasheria wa serikali
Nimecheka sana mkuu japo bila kutoa sautiChadema hawatakubali Chenge ajiuzuru
Hili halina mjadala, ajiuzulu fasta. Ikiwezekana na ubunge avuliwe plus kesi ya uhujumu uchumi. ili awe ndani wakati kesi inaendelea possibly kesi ichukue hata 10yrs.
Wezi na wadhulumu wakubwa wa Tanzania ndio wanaojidai wazalendo na watanzania halisi kuliko wengine. Jinai ni jinai...mbele ya watu na ni makosa mbele yake Mwenyezi Mungu. He survives because of the Quid Pro Quo status of the brotherhood. It was possible back then to protect him...the question is for how long????Kumbe bungeni tunaamua mambo kwa mtindo wa NDIOOOOOO ili kuwakomoa wapinzani. Kwa minajili hiyo, Chenge bado yupo sana tu.
Mkuu Chenge ni kama mgongo tu, CCM wanamtumia kuiba. Yeye huwa anachukua mzigo na kuwapa wenzakehuyu enzi za nyerere angenyang'anywa kadi ya chama haraka na kupelekwa lupango.
Wanaccm wenyewe watakwambia tatizo siyo Chenge ni Tundu Lisu