Chenge azomewa (Mwakibuga, Bariadi)


mengine mezi tu
 
Mtu mzima bawacha mzima hata matumizi ya mabano hujui halafu unataka kutunga uongo wa kipuuzi kama huu nani atakuelewa.
 
Mtu mzima bawacha mzima hata matumizi ya mabano hujui halafu unataka kutunga uongo wa kipuuzi kama huu nani atakuelewa.


Tulia dawa ikuingie vizuri. .magamba mkishikwa vibaya mnakimbilia neno uongo tulia gamba mkubwa wewe.
 
Mkuu Frank Kubwera Mungu akibariki sana.
Magamba yakisikia habari nzuri za ukombozi yana meguka vipande vipande
 
Heee...inamaana Chenge bado anautaka ubunge? Ntaambulia aibu kama hamwezi kusoma alama za nyakati. Wimbo wa sasa ni chadema mkobozi 2015! Jifunze kuzijua nyakati na heshima yenu itadumu.
 

Katika mikutano ya Maccm kuweka mhuri wa kuwatibitisha mafisadi wakati ule TRC inafanya kazi,kanda ya ziwa ilikuwa inaitwa treni la ushindi.muulizeni Mh.Shibuda alivyoshushwa ktk hilo ngongongo!
 
Lasttym chenge alifanyiwa kampeni zake na mke wake,yule mama anajua kugawa pesa bwana,pia mtu aliekuwa akichunuana nae hakuwa na nguvu sana ila trip hii kazi anayo kwani chadema ndani ya simiyu imesambaa kama kansa
 
Impact za M4C zimeanza kuzaa matunda.Uzuri walishaambiwa wajiandae kisaikolojia.
 
Simiyu yetu atakuja kudai hii habari si ya kweli na alikuwepo hapo!
 

hongesa sana wanabariadi kwa kujitambta kwenu. saa ya ukombozi ni sasa. migamba itakula mawe safari kwani wananchi wameishajitambua kitambo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…