Chemsha ubongo kwa kujibu swali hili

Nawezaje kumtofautisha web developer na web designer?

JIBU KWA HOJA.
As the names suggest...

Web designer -- Ana deal na frame/sketch ya web nzima, yaani how it suppose to look, functionalities zake n.k... yaani kuhusu ile idea nzima ya web

Web developer -- bring the idea of web designer into live, huyu ndo mgonga code, mtu ambaye anafanya kulingana na matakwa ya web designer..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
As the names suggest...

Web designer -- Ana deal na frame/sketch ya web nzima, yaani how it suppose to look, functionalities zake n.k... yaani kuhusu ile idea nzima ya web

Web developer -- bring the idea of web designer into live, huyu ndo mgonga code, mtu ambaye anafanya kulingana na matakwa ya web designer..



Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwaje Kama Hakuna web designer wakati wakati Kuna web developer kwenye kampuni?
 
Any way ngoja namimi nichemke kidogo

Kuna aina tatu za web developer.
1. Front-end developer
2. Back-end developer
3. Full stack web developer

Huyo namba moja anahusika na kudevelop user interface sio kudesign nasema tena sio kudesign.
Hapa atadeal na Kila kinacho hitajijika aweze kudevelop static web page mifano ya vitu anavyotumia Mara kwa mara ni text editor na lugha Kama HTML, CSS, JavaScript lakini pia huyo anaweza cheza na framework, ibrary na plugin kadhaa huyo ndo front end developer na sio web designer

Huyo namba mbili anahusika na kudevelop dynamic web page.
Yaani anaifanya Wavuti iweze kuwa scalable automatically kwenye swala la data hatutakuwa na haja ya kuhifadhi data nje ya database na zilizoko nje tunaweza ziindex kwa kutumia database na sio direct storage to web page.
Huyu hutumia scripting language Kama PHP, python na framework kadhaa Kama Django na laravel kwa ajili ya functionality ya page lakini pia lazima awe mtaalamu wa database Ina tegemeana na aina ya project aliyo nayo.

Huyo namba tatu anahusika na vyote yaani 1 na 2.

Kwanini yule watatu anahusika na vyote, ni kazi ngumu kuniletea static website niiconvert to dynamic yaani hata niwe professional lazima niisome mno na niilewe maana kuna component zingine za front-end huwa hazikubaliani na back-end kwenye lengo husika na hii ni sababu ya kuwepo kwa full stack web developer Yani unajua kabisa hii front page itakuwaje upande wa back-end kiufupi ndo hivyo.



Sasa web designer ni nani ni yule anayeshika penseli na karatasi theni anapata idea na kuiconvert to image kwa kutumia software kadhaa kama vile Photoshop, illustrator , firework n.k hausiki na kingine zaidi ya icho.

Mpaka hapo Nafikiri umeelewa tofauti ya web designer na web developer na kwa kuwa ni professional mbili tofauti ambapo moja imegawanyika mara tatu.

MAZINGIRA
MAZINGIRA ya kazi yanaweza kuwafananisha web designer na front end developer Lisa anadeal na user interface na hii labda hapa bongo ndo tunafanyia hivi Ila sio watu sawa.



Note:
Hapa Kuna term mbili designer na developer
Na hizi zimetoka kwenye term hizi
Design na develop


Remember waterfall model.
Siku njemaaaaaaaaaaaa.
 
web designer sanasana atadeal na front-end. web developer anadeal na back-end. ila kimsingi ni watu walewale.
Nawezaje kumtofautisha Web Developer na Web Designer?

JIBU KWA HOJA.
Web designer ni sawa archtect kwenye ujenzi. Web/App designer yeye kazi yake ni kuandaa prototype on how a website or app should look...

Designer mara nyingi wanakua njema kwenye kutumia tools kama photoshop, illustrator, and most importantly, adobe xd au sketch!! Most cases hawako njema sana kwenye coding japo wanaweza kua na basics za html, css na kwa mbaaali JS.

Hawa designer pia wanagawanyika into two categories..

UX (user experience desgner) ambao wana deal na kuhakikisha wana design web/app ambayo haita mtumiaji..

UI (user interface) ambao wanadeal na kuhakikisha web/app inakia na muonekano mzuri uanzia wenye color, responsiveness mpaka navigation!

On the other hand...

Web developers hawa ni lazima wawe njema kwenye coding hasa kwenye html/css na languages kama JS, python, ruby etc (pamoja na frame/libraries zake).

Web developers wamegawanyika into three categories..

Kwanza front end developers ambao hawa wana deal na ku code muonekano wa nje wa website. Hawa ni lazima wawe njema kwenye html, css na JS (pamoja na atleast framework moja kama react library, angular au vue js).

Pili backend developers... Hawa hawako njema sana kwenye frontend languages ila wako njema sana kwenye ku design databases na kuhakikisha usalama wa website au app muda wote uko intact!!

Hawa lazima wawe njema kwenye language kama python, php, c++,java, ruby etc (sio lazima wajue zote ila inaeza kuwa moja au zaidi kulingana na mahitaji)!!

Hawa backend they are not good kwenye ku design muonekano ila they are well equiped with analytical and logical skills!!

Lastly ni full stack developers.. Hawa ndio funga kazi maana they know both backend and front end development...

Huu mgawanyiko huwezi kuukuta kwenye startups zenye limited capital, most cases utakuta kwenye makampuni makubwa na ambayo yako well structured kiuchumi na rasilimali watu!!

Done.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Web designer ni sawa archtect kwenye ujenzi. Web/App designer yeye kazi yake ni kuandaa prototype on how a website or app should look...

Designer mara nyingi wanakua njema kwenye kutumia tools kama photoshop, illustrator, and most importantly, adobe xd au sketch!! Most cases hawako njema sana kwenye coding japo wanaweza kua na basics za html, css na kwa mbaaali JS.

Hawa designer pia wanagawanyika into two categories..

UX (user experience desgner) ambao wana deal na kuhakikisha wana design web/app ambayo haita mtumiaji..

UI (user interface) ambao wanadeal na kuhakikisha web/app inakia na muonekano mzuri uanzia wenye color, responsiveness mpaka navigation!

On the other hand...

Web developers hawa ni lazima wawe njema kwenye coding hasa kwenye html/css na languages kama JS, python, ruby etc (pamoja na frame/libraries zake).

Web developers wamegawanyika into three categories..

Kwanza front end developers ambao hawa wana deal na ku code muonekano wa nje wa website. Hawa ni lazima wawe njema kwenye html, css na JS (pamoja na atleast framework moja kama react library, angular au vue js).

Pili backend developers... Hawa hawako njema sana kwenye frontend languages ila wako njema sana kwenye ku design databases na kuhakikisha usalama wa website au app muda wote uko intact!!

Hawa lazima wawe njema kwenye language kama python, php, c++,java, ruby etc (sio lazima wajue zote ila inaeza kuwa moja au zaidi kulingana na mahitaji)!!

Hawa backend they are not good kwenye ku design muonekano ila they are well equiped with analytical and logical skills!!

Lastly ni full stack developers.. Hawa ndio funga kazi maana they know both backend and front end development...

Huu mgawanyiko huwezi kuukuta kwenye startups zenye limited capital, most cases utakuta kwenye makampuni makubwa na ambayo yako well structured kiuchumi na rasilimali watu!!

Done.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa wewe umejibu kwa he has na umetoa folaaa.
Ni kweli kabisa watu wengi hawakuweza kutofautisha namna hii nadhani ni kwa sababu ya mazingira tuliozoea mfano hapa hapa bongo yaani web designer ndo huyo huyo web developer in any category.
😊
 
I know developer utamkuta kwenye backend most of the time SQL, PHP, python
but designer ndio wale wazee wa front-end template,WordPress,Joomla
 
Back
Top Bottom