Mwalimu mkuu alitembelewa na wageni idadi kadhaa, akawapa viti pia idadi kadhaa, wakaamua kukaa kama ifuatavyo:
Wakikaa mmoja mmoja kwenye kila kiti mgeni mmoja anakosa kiti,
Wakikaa watatu watatu kwenye kiti kimoja kiti kimoja kinabaki,
Je! Wageni walikuwa wangapi na viti vilikuwa vingapi?