Dona Kantri
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 346
- 115
Mwalimu alisema:
laiti jana ingekuwa kesho leo ingekuwa ijumaa! Je mwalimu alikuwa akiongea siku gani?
laiti jana ingekuwa kesho leo ingekuwa ijumaa! Je mwalimu alikuwa akiongea siku gani?
Dah...ijumaa
Peleka fb.
JumatanoMwalimu alisema:
laiti jana ingekuwa kesho leo ingekuwa ijumaa! Je mwalimu alikuwa akiongea siku gani?
Baada ya kujua jina lako ikanilazimu kukusamehe bure!Peleka fb.
Mwalimu alisema:
Je mwalimu alikuwa akiongea siku gani?
Kapu?? Unajua aliekuwa anaongea huko clauds fm? Kama hujui huna haki ya kuongea....weka kapuni bwana kapupeleka majibu yako kwa hao clouds fm ulikosikia swali.
Nimekulewa sana kaka!Mzee Atom;
Let's try to use a similar analogue; kwamba kwa mfano leo ni Jumatano, ambayo jana yake ni jana, yaani Jumanne. Kwa hiyo kutokana na statement ya mwalimu kwamba laiti jana (JUMANNE) ingekuwa kesho (ALHAMISI) leo (JUMATANO) ingekuwa ijumaa! Kwa hiyo mwalimu anaongelea siku ya JUMATANO, (au leo by pure coincidence)