Hii ni namba witiri:
inatokea mara 6 kwa siku katika masaa 24 ya mtindo wa saa ya ukutani yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7),8,(9),10,(11),12
inatokea mara 4 kwa wiki (siku saba) yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7)
inatokea mara 2 tu kwa mwezi, kwenye mwezi kuna wiki 4 tu yaani wiki ya (1), 2, (3) na 4
inatokea mara 1 tu kwa mwaka mmoja yaani (1)
MAMMAMIA am i correct?