MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Nilitembelea kituo cha watu wenye upungufu wa akili (mimi nikiwa mmoja wao, hahaha).
Nikamwuliza mdhamini wa kituo:
"Hivi mnaamuaje kuwa mtu anastahiki kulazwa hapa?"
"Tunachofanya n hivi: Tunajaza majii katika bafu badaye tunampa mgonjwa wetu kijiko, kikombe na ndoo ili achague kifaa kimoja kati ya hivyo cha kutolea maji kwenye bafu. Kwa mujibu wa kifaaa atachochagua, huwa tunajua kama anahitaji kulazwa au la"
Lakini akaniambia kuwa si lazima atowe jibu hapo hapo, anaweza kurudi nyumbani, akatafakari, akauliza watu akitaka, siku ya pili anarejea na kutupa jibu.
Sasa mimi nahisi hili suali lina mtego, naomba wenzangu mnisaidie jawabu, Ungekuwa wewe ungetoa maji kwenye bafu kwa njia gani?Nisaidieni tafadhalini nina siku moja tu. Nitapita baadae kukusanya jawabu zenu.
Nikamwuliza mdhamini wa kituo:
"Hivi mnaamuaje kuwa mtu anastahiki kulazwa hapa?"
"Tunachofanya n hivi: Tunajaza majii katika bafu badaye tunampa mgonjwa wetu kijiko, kikombe na ndoo ili achague kifaa kimoja kati ya hivyo cha kutolea maji kwenye bafu. Kwa mujibu wa kifaaa atachochagua, huwa tunajua kama anahitaji kulazwa au la"
Lakini akaniambia kuwa si lazima atowe jibu hapo hapo, anaweza kurudi nyumbani, akatafakari, akauliza watu akitaka, siku ya pili anarejea na kutupa jibu.
Sasa mimi nahisi hili suali lina mtego, naomba wenzangu mnisaidie jawabu, Ungekuwa wewe ungetoa maji kwenye bafu kwa njia gani?Nisaidieni tafadhalini nina siku moja tu. Nitapita baadae kukusanya jawabu zenu.