Hakuna muda maalumu wa mtu kuamua kuandika hoja zake nimeibuka maana aliyekuwa anamake sense ulireport akawa banned ulimwita mwanamke naye kakutukana
Nasoma message humu sihitaji mnijue nyie nani mpaka niwafahamu?
Unadandia train kwa mbele ukiambiwa hujui kitu unawaka huyo mtu hakunitukana mie kwa taarifa yako...
We ndie watufatiliaaa unajifanya kutujuaa kuliko wazazi wetu waliotuzaaa sina muda wa kukujua nna muda wa kuchangia kila thread maana nimeajiriwa humu
Atagongwaa mwache adandie tu mi naona kama ananiimbia taarabu ila mwambie ayapange mashairi vizurii maana bado hajawa mzoefuu
sasa hapa kiingereza kigumu kiko wapi?? nadhani mna issue na mleta thread wala sio lugha aliotumia.
Sihitaji kukufahamu wee na wenzako mnaotundika message kila mara halafu mnaambia wengine kuwa hawana kazi wewe na wenzio nani hana kazi tukiangalia utundikaji si mnashinda humu kama kazi yenu? Sina muda wa kukujua wanaokujua wanakutosha nipo kuendeleza libeneke na mtetea haki
Inatosha mkuu, tujadili mada sasa.
Inatosha mkuu, tujadili mada sasa.
Sihitaji kukufahamu wee na wenzako mnaotundika message kila mara halafu mnaambia wengine kuwa hawana kazi wewe na wenzio nani hana kazi tukiangalia utundikaji si mnashinda humu kama kazi yenu? Sina muda wa kukujua wanaokujua wanakutosha nipo kuendeleza libeneke na mtetea haki
Binamuuuuu. Tule ujana. Hapo ulipo keyboard unaiona kweli?
Atagongwaa mwache adandie tu mi naona kama ananiimbia taarabu ila mwambie ayapange mashairi vizurii maana bado hajawa mzoefuu
Yaan unavyoshindana kujibu unanidhihirishia kua huna kazii hahhhahhha nimekuambia mie kazi yangu ni humu kutundika comment humu,ungekua na kazi usingepata muda wa kujibishana na sie humo tchaoo
Mmmhhh usije na fimbo tu plizzzzzz
Nimempotezea yeye kama mwanaume kweli aje kwa id yake halisi ..
Mwanaume gani mwoga?
kingreza
Mi hata sielewi kujibizana hapa kunatoka wapi.
Kuna uhuru wa mtu ku post kwa lugha anayochagua yeye as long as hatukani mtu.
Sasa nini kinaendelea hapa?
Lusungo ni ID yako halisi? na Avatar ya dinosaur, kichekesho