Chembe ya moyo ni nini na hutokana na nini?

Chukua Kutunguu swaumu,Tangawizi visage chukua kipande cha limao kamulia kwenye huo mchanganyiko...baada ya hapo utachukua Asali mbichi kijiko kimoja weka kwenye huo mchanganyo then koroga mpka upate ujiuji mzito then kamua upate maji maji ya huo mchanganyo wako......unywe vijiko viwil kutwa mara tatu....(asbh..mchana..jion...) Ndani ya siku tatu Lete majibu hapa....me cyo dokta ila huu mchangnyiko n dawa tosha kwa wale wanasumbuliwa na kifua sugu
 
Hii ina ukweli nimekuwa na tatizo kama lako toka 2003 nikafanyiwa xray temeke, amana na muhimbili hakuna tatizo nikapigwa masindano ya kutosha christapen na powercef, nikatumia kila aina ya dawa, nikapiga CT scan ya kichwa na kifua hakuna tatizo mpaka mwaka 2012 nilienda TMJ nikakutana na daktari wa kihindi nikamuelezea historia na vipimo nilivyopitia na ninavyojiskia mpaka leo akasema hebu tuangalie mfumo wako wa chakula maana kifua kuuma na nyuma ya mgongo inaweza kuwa ni mfumo wa chakula pia, nikapigwa endoscopy na tatizo likaoneka ni GERD grade 1 bahati mbaya hakuna tiba ya uhakika hata opersheni ukifanyiwa wanasema success rate ni 50% so nikashauriwa tu kubadili mtindo wa maisha na kutumia dawa ila nimateso makubwa.
 
Ni kweli kiongozi ila sasa kwangu imefikia hata ukikandamiza kifua huwa kinauma na kiungulia kimepanda mpaka kwenye koo
 
wahi hospitali mweleze Dk lakini ni dalili kuwa acid inazalishwa kwa wingi tumboni mwako jaribu kuepuka kula kwa wingi vitu vyenye asili ya acid na pia jitahidi kunywa maji kwa wingi
Hebu niorodheshee hivyo vyakula vya acid tuvijue mkuu
 
Aisee mimi nina hili tatizo serious kabisa.
Maumivu yangu cku za nyuma yalianza kiuno yakapanda na mgongo karibu na mabega. Sasa yamehamia kifuan upande wa kushoto na napata na gesi wakat mwingine. Halafu kuna wakat kichwa kinauma upande mmoja huu huu wa kushoto mpaka jicho linaniuma. Nilijaribu kwenda sana hospital wao wananiambia hawaon kitu so ninachojaribu kufanya ni mazoez. Nikifanya mazoez hii kitu inapungua. Cjawah kutumia dawa za mitishamba toka nitoke kijijin miaka ile 90 bibi yetu alikuwa anatuleteaga dawa za kimasai. Nimesona ushaur wenu ngoja tena nikachek na Dr kesho nimsikilizie.
 
Namm nateseka sana kfua, ninapokoa napata maumv mgongon makali sana hadi natapika, naomba msaada.
 
Nina jirani yangu anateseka kila usiku, ukimuliza anasema ana "chembe ya moyo"

Sijui ni ugonjwa gani mwenye idea na solution yake.

Hospitali alienda wakampa dawa lakini naona panadol n.k
 
Mwambie apunguze mawazo kwa jambo ambalo ameshindwa kulipatia ufumbuzi, hiyo ni dalili ya vidonda vya tumbo na maumivu yake huitwa kitaalamu kama epigastric pain.
 
AHSANTE SANAMKUU SIJALALA MAJIRAN WANANGALIA ANAVYOHANGAIKA JORAN UNALIA KABISAA AISEE UGONJWA WA HATAREE SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…