DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,981
- 11,823
Mmegongwa 5 huko ndio habari mpyaAkiba gani ya maneno akati Niko fainali right now, we are Chelsea!
Mmegongwa 5 huko ndio habari mpyaAkiba gani ya maneno akati Niko fainali right now, we are Chelsea!
watakutukana shauri yakoChelsea ya Idweli au ile nyingine ya Malangali?
Watakuwa wamepata utajiri mkbwa. Tukana tusi jipya Bujibuji akujaze minoti.watakutukana shauri yako
Watakuwa wamepata utajiri mkbwa. Tukana tusi jipya Bujibuji akujaze minoti.
Kawape Sala zangu
Ok, got it 👍Mmegongwa 5 huko ndio habari mpya
Mkuu....uje ufute hii kauli usijisahaulishe...specifically paragraph ya mwisho na ya pili kutoka mwisho..ikiezekana uombe radhi kwa upotoshaji huu.Asa mkuu nawe nakuona hauko sawa suala la kante kuondoka hizo no rumors tu na hakuna ukweli wowote yeye mwenyewe kante alishasema haondoki na Chelsea haina mpango wa kumuuza.
Suala la Willian, Chelsea wanataka kumpa miaka miwili lakini yeye anataka miaka mitatu, lakini siku zinavyoenda uwezekano wa Willian kupewa huo mkataba upo maana, na week kadhaa zilizopita kulikuwa na mazungumzo Kati Willian na Chelsea.
Suala la kumuuza salah, Kevin kama wewe ni mtu wa soka hauwezi kulaumu hata kidogo, kipindi hicho akina salah na Kevin viwango vyao vilikuwa chini Sana ndio maana walitolewa kwa mkopo na baadae kuuzwa jumla. In fact Kila mchezaji ana muda wa kufikia peak yake kisoka, Je unadhani Chelsea ilipaswa kuwabakisha kikosini kwa kipindi hicho wakiwa na viwango vyao vya chini!?, Jibu ni hapana maana ni lazima ifanye maingizo mapya ya wachezaji mkuu.
Mwisho kama unaona Chelsea ni timu ya kishenzi then hama mkuu, kwanza utasemaje Chelsea ni timu ya kishenzi ambapo Kila msimu Ina guarantee ya kuchukua kombe uh!
Basi hamia arsenal, man United au Spurs timu ambazo hazina guarantee ya kuchukua kombe lolote ndani ya msimu.
hahahahahahahahahahahahahahhaa cheltako bwana dah kwahiyo ikawaje?Akiba gani ya maneno akati Niko fainali right now😁😁, we are Chelsea!
FA, je wewe unatarajia kuchukua kombe gani mkuu,
Kwanza haujasoma vizuri post yangu, naomba isome upya.
Wanaitwa MLIPUKO FCChelsea ya Idweli au ile nyingine ya Malangali?