Cheki Hii Njemba Baa

Cheki Hii Njemba Baa

Naona watu wengi wanatukana. Kakosea nini?

Wewe unaona ni sawa kwa mtoto wa umri ule kupelekwa baa na kunyweshwa bia? Huo kwa udhahiri ni udhalilishaji wa watoto.

Na 'ladypepeta' ameweka like kwenye ile picha, shame on you!
 
Najua sio mimi maana post sikuiweka mimi. Usijali ni kubadilishana mawazo wala hakuna shida yoyote. Ndio uzuri wa JF unabadilishana mawazo na mtu humfahamu. Karibu kwetu.[/QUOTE]
nakuja kwa niaba yake
 
Wewe unaona ni sawa kwa mtoto wa umri ule kupelekwa baa na kunyweshwa bia? Huo kwa udhahiri ni udhalilishaji wa watoto.

Na 'ladypepeta' ameweka like kwenye ile picha, shame on you!
lDYPEPETE SIJAJUA NI WA WAPI BUT FURSA IPO KUWEKA UNLIKE
 
Kama maeneo ya fulan kigoma then huyu mtot anaitwa Sayun ni wa my co-worker
 
Shame up on you is not a polite word anyway! Nisamehe bure kama nimekosea uandishi

Shame on you siyo tusi hata kidogo. Ni kwa kumuhadharisha mtu kuwa alichokifanya siyo kizuri.

Umewahi kusikia msemo wa naming and shaming? Yaani anayefanya kitu ambacho si kizuri kwenye jamii huwa anatajwa hadharani ili ahisi vibaya na kuacha kile kitendo.
 
Shame on you siyo tusi hata kidogo. Ni kwa kumuhadharisha mtu kuwa alichokifanya siyo kizuri.

Umewahi kusikia msemo wa naming and shaming? Yaani anayefanya kitu ambacho si kizuri kwenye jamii huwa anatajwa hadharani ili ahisi vibaya na kuacha kile kitendo.

Sio tusi kweli ndio maana nimesema is not a polite word. Baba huweZi kumwambia hivyo nadhani hata kama sio tusi!
 
si haki si sawa
Wewe unaona ni sawa kwa mtoto wa umri ule kupelekwa baa na kunyweshwa bia? Huo kwa udhahiri ni udhalilishaji wa watoto.

Na 'ladypepeta' ameweka like kwenye ile picha, shame on you!
 
Back
Top Bottom