masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,776
- 16,690
afadhali hujaweka like masai dada
kuna watu unajua ni wapuuuzi sana unaanzaje kumpa mtoto hiiyo kitu jamani
naomba isiwe kweli
afadhali hujaweka like masai dada
napenda sana watoto sipendi mtu achezee future ya mtoto hata iweje
Sawa kabisa, lakini kwa lugha njema ujumbe utafika.
hivi mtu awe mshenzi alafu umuiye mtiifuuu?????
sijaelewa unachojaribu kuzungumza UNCLE CHUAKACHARA
mshenziiiii
kama nini
Nasema neno "mshenzi" liache, sio zuri kwa binti kama wewe pamoja na kuwa sikujui. lakini huwa naona post zako za sura njema.
afadhali hiyo nani hii hujaitaja ....
Tumia lugha laini mtoto wa kike basi hata kama umechukia.
sawa nimekuelewa
basi nakuita mpuuzi badala ya mshenzi
Mhhh!!!! Kwetu kuna hadithi huwa inasimuliwa hivi: Kuna kijana aliambiwa na wazee wa kijiji chake katika mkutano wa kijiji "acha kuwatukana watu wazima". Akawajibu akasema "Ni mbwa gani huyu ananifundisha hivyo" Ndiyo ya leo! Nitapenda kukuona siku moja!