chekaaaa time.

chekaaaa time.

asakuta same

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2011
Posts
14,829
Reaction score
5,039
nimepata uvivu kupitia hapa km imeshawahi kutolewa ,ikiwa hivyo basi ipotezee.


Pedejee mmoja alienda na mkewe
muziki, akapita binti mzuri akamsalimia,
mkewe akamuuliza ,’Yule nani?’
Akajibu ‘Huyo nyumba ndogo yangu’.
Mke akaja juu,’Nataka talaka yangu’.
Pedeshe akajibu, ’Powa ntakupa, lakini kumbuka safari za kwenda Uchina na
Dubai ndio zitakuwa basi tena, na ishu
za kwenda saluni mara mbili kwa wiki
utazikosa, sijui utakuwa unatumia gari
gani maana sitakuachia gari hata moja’.
Mama kakaa kimya. Akapita binti mwingine, Pedeshe kamwambia
mkewe ‘Huyo nyumba ndogo ya rafiki
yangu’. Mke wa pedeshe
akasema,’Mhhh huyu wala siyo mzuri
kama nyumba ndogo yetu!
 
[h=6]BAADA ya shughuli kitandani mwanamke akataka kumuadhiri mpenzi wake akamwambia.
MWANAMKE: Huna lolote kumbe maneno yote yale 'gitaa lako dogo namna hii'!!!
MANAUME AKAJIBU: Sawa unajua sikujiandaa kwa sababu sikudhani kuwa nitatumbuiza kwenye uwanja mkubwa wa Taifa!!
[/h]
 
eti sio mzuri kama nyumba ndogo yetu
toooba! kanyoosha maelezo mwenyewe
fedha fedhea
 
Back
Top Bottom