mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
UKIPENDA hakuna anaeamini km unapenda, UKIUMIA hakuna anaehc maumivu yako, UKILIA hakuna anaethamini kilio chako, ila BANJA sasa uone!! kila mtu JICHO KWAKO!!!
HahahaaaaKbaka ampiga bubu roba,bubu kwa kujitetea akawa anapiga kelele "abaabaabaa "kbaka ili acjulikane kama anamkaba akawa anamalizia "prakatatumbaa"
tumbaa;
Hahahahahahaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
Ingalau huku na-enjoy, siyo kule kwenye jukwaa la siasa ambako
kila nikisoma najikuta nikiambulia kupata stress...
Mkuu kule hakufai, unaweza ukalambwa ban maana kuna watu ni mabingwa wa kupandisha hasira za wenzao!
alaa....kumbe katiliwa sumu!mume akiwa hoi kitandani, pembeni ya kitanda kakaa mkewe akimtazama.
mume: kuna kitu nataka kujutia na kutubu kabla sijafa
mke: hakuna haja ya kufanya hivyo mume wangu
mume: hapana lazima nifanye hivyo mana nataka kufa kwa amani! nimetembea na dada, mama, pamoja na rafiki yako kipenzi..
mke: najua sasa pumzika uache sumu ifanye kazi...