*CHEKA KIDOGO *

*CHEKA KIDOGO *

*Unatumwa dukani ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1,000/= afu ww unaamua kupitia sehemu unanunua andazi la sh 100 ili ukanunue mafuta ya 900/=. Ukifika wanakouza mafuta unakuta wamefunga*.
Hapo ndo utatafuta mafuta mpaka phamacy
Nimecheka sana, sio kidogo!
 
Hiyo balaa aisee maana nyumbani haparudiki bila mafuta.
 
*Unatumwa dukani ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1,000/= afu ww unaamua kupitia sehemu unanunua andazi la sh 100 ili ukanunue mafuta ya 900/=. Ukifika wanakouza mafuta unakuta wamefunga*.
Hapo ndo utatafuta mafuta mpaka phamacy
Una umri gani mkuu
 
Ha ha kula ganji lzm uwe na mbinu mbadala hapo unasingizia imejichenchi au imekatwa kodi....🙁🙁🙁
 
Unaanza kwenda kununua mafuta, kinachobaki ndo unapitia andazi.
 
Kuna madogo kauzu anaweza pita mtaa kwa mtaa kutafuta ya kuwashia moto ili yajae.. ikishindikana kabisa,

Aaah anatia maji tu kwenye chupa kitafahamika mbele kwa mbele. Mia nne anaiweka kibindoni, 500/= anasema ameokota jiani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom