Tumia hizi namba(1,2,3,4,5,6,7,8,9) bila kuzirudia rudia mwisho jibu liwe=100.
Zitumie kutengenezea kachumbari.Zinatakiwa zitumike kivipi?
Chukua hii hapa: =9*8+7+6+5+4+3+2+1
Zingatia magazijuto.
zitumie kutengenezea kachumbari.
asante sana kwa maswali na majibuswadakta!also[12+3-4+5+67+8+9]
Asante kwa kutufungua macho,hesabu nilikuwa naziita mama mkweZinatakiwa zitumike kivipi?
Chukua hii hapa: =9*8+7+6+5+4+3+2+1
Zingatia magazijuto.
Ahahahaaah! Hii kali...24+76=100
nadhani itakuwa kamchezo kameisha
mwanaone hataki shida,ametumia digit 4 tu kati ya zile tisa!
Zitumie kutengenezea kachumbari.
anyway swali halikuwa clarified vizuri ila nilikuwa namaanisha zitumike namba zote zilizoorodheshwa.mkuu mi naona yupo sawa, kwani swali halikusema atumie namba hizo zote, bali
tumia namba hizi,1,2,3,4,5,6,7,8,9 bila kujirudia halafu jibu liwe 100.
hivyo 24 + 76=100, ni xllent!, kwani number alizotumia zi ndani ya boundaries. tehe tehe. nway thanx kwa pulse bomba
Zinatakiwa zitumike kivipi?
Chukua hii hapa: =9*8+7+6+5+4+3+2+1
Zingatia magazijuto.