Cheka kidogo...fikiria kidogo!

Cheka kidogo...fikiria kidogo!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Tumia hizi namba(1,2,3,4,5,6,7,8,9) bila kuzirudia rudia mwisho jibu liwe=100.
 
hivi hisabati ndio uchawi unaoongoza dunia? Mi mlokole sipendi hasabu hata chembe
 
Wengine wanapata aleji bana yanapokuja mambo ya hisabati...! Ah!
 
mwanaone hataki shida,ametumia digit 4 tu kati ya zile tisa!

mkuu mi naona yupo sawa, kwani swali halikusema atumie namba hizo zote, bali
tumia namba hizi,1,2,3,4,5,6,7,8,9 bila kujirudia halafu jibu liwe 100.
hivyo 24 + 76=100, ni xllent!, kwani number alizotumia zi ndani ya boundaries. tehe tehe. nway thanx kwa pulse bomba
 
mkuu mi naona yupo sawa, kwani swali halikusema atumie namba hizo zote, bali
tumia namba hizi,1,2,3,4,5,6,7,8,9 bila kujirudia halafu jibu liwe 100.
hivyo 24 + 76=100, ni xllent!, kwani number alizotumia zi ndani ya boundaries. tehe tehe. nway thanx kwa pulse bomba
anyway swali halikuwa clarified vizuri ila nilikuwa namaanisha zitumike namba zote zilizoorodheshwa.
 
Back
Top Bottom