Cheka kidogo...fikiria kidogo!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Tumia hizi namba(1,2,3,4,5,6,7,8,9) bila kuzirudia rudia mwisho jibu liwe=100.
 
mwanaone hataki shida,ametumia digit 4 tu kati ya zile tisa!

mkuu mi naona yupo sawa, kwani swali halikusema atumie namba hizo zote, bali
tumia namba hizi,1,2,3,4,5,6,7,8,9 bila kujirudia halafu jibu liwe 100.
hivyo 24 + 76=100, ni xllent!, kwani number alizotumia zi ndani ya boundaries. tehe tehe. nway thanx kwa pulse bomba
 
mkuu mi naona yupo sawa, kwani swali halikusema atumie namba hizo zote, bali
tumia namba hizi,1,2,3,4,5,6,7,8,9 bila kujirudia halafu jibu liwe 100.
hivyo 24 + 76=100, ni xllent!, kwani number alizotumia zi ndani ya boundaries. tehe tehe. nway thanx kwa pulse bomba
anyway swali halikuwa clarified vizuri ila nilikuwa namaanisha zitumike namba zote zilizoorodheshwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom