chef&procurement officers Arusha

chef&procurement officers Arusha

disturbanced

Member
Joined
Oct 27, 2024
Posts
37
Reaction score
38
wakuu habari za muda huu...niende moja kwa moja mimi ni mjasiriamali nipo arusha.Naomba mwenye connection ya chef wa hoteli au officers wanaohusika na ununuzi wa chakula na mbogamboga mahotelini hasa arusha...binafsi nafanya biashara ya kuuza mbogamboga soko kuu arusha lakini pia najishughulisha na biashara ya nafaka.KWA YEYOTE MWENYE CHA KUNISAIDIA TAFADHALI usisite kutoa mchango wako.
shukran
 
Back
Top Bottom