M Mshimba1971 Member Dec 13, 2021 75 66 Jun 26, 2022 #5 Imphuvyi said: Habari Wana jamvi, Mm ni mpishi(me) 32. Naishi Dar Nipo kwenye tasnia ya mapishi takriban 10 years, Kwa Sasa nipo bench Sina kazi. Naomba kwa yeyete mwenye kuweza kuniconnect na kazi anisaidie Asanteni. Click to expand... Mapishi gani zaidi mkuu uko vizuri?
Imphuvyi said: Habari Wana jamvi, Mm ni mpishi(me) 32. Naishi Dar Nipo kwenye tasnia ya mapishi takriban 10 years, Kwa Sasa nipo bench Sina kazi. Naomba kwa yeyete mwenye kuweza kuniconnect na kazi anisaidie Asanteni. Click to expand... Mapishi gani zaidi mkuu uko vizuri?