Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wakuu,hawa tcu vipi?walitushauri tuklie application na tufanye re-application lakini nashangaa wiki inakatika sasa na wenyewe bado tu wameniandikia kwenye kozi husika checking in progress.kama kuna anae elewa huu utaratibu wa hayo masuala naomba anijuze,maana nashndwa kuelewa kama nimequalify or not.