pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Hehehe. Zinaitwa guest house za kulambana. Naona hadi bei unazifahamu jombaa. Natania. Ukifika Nai usipite karibu, narudia tena, usipite karibu na mitaa ya Kampala Coach, Duruma Road. Asee kunakuwaga na warembo lainiii wana mawezere na mawetete yanaleta appetite tena na mawowowo juu yake pia. Ukifikiria kusema hi unaambiwa 'twende shot baby' huku amenyoosha kidole upande wa pili, Kirinyaga Guest House. Usiingie, narudia tena, usiingie Kirinyaga Guest House. Welcome to Nairobee, aka, Concrete jungle.Jamaa boss mkubwa hvyo ndio anaenda kugongea demu kwenye viguest vya 500