Si kweli kuhusu huo msemo wako. Sisi wamakonde tuna idiom yetu maridadi sana inasema:Kaoko bita, kaoko piluka! 😂😂😂😂😂Haaaaaaaaaaaaaa wazee wa fix
Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
😁😁😁Le Chawazz Le kungunizz
Mkuu naomba tushirikiane kuwasikitikia hawa viumbe. Wanajidai kama wanasikilizana kweli. Angalia yule mwingine kakaa kama anakuna nazi! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
1. ''Wamakonde''Si kweli kuhusu huo msemo wako. Sisi wamakonde tuna idiom yetu maridadi sana inasema:Kaoko bita, kaoko piluka! 😂😂😂😂😂
duh mkuu saluti zako vile uko makinijamaa limeigeuza bendera ya taifa