CHAUMMA wanakualikeni kuishangaa chopa!

CHAUMMA wanakualikeni kuishangaa chopa!

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,648
Reaction score
10,843
Wale wote manotaka kujionea chopa kwa karibu hitaji lenu limepata ufumbuzi! Kwa siku 16 mfululizo chopa ya CHAUMU itakuwa hewani kuwaburudisheni nyote!

Sikumbuki tarehe, lakini ni kwa siku kumi na sita mfululizo!

Sikumbuki pia kama watatoa na nauli, au kama kutakuwepo na malori ya kuwasomba watu kwenda mkutanoni kujionea chopa! Lakini unaweza kuwapigia kwa namba ya KATIBU MKUU wao mpya!

Utahudhuria?

Mimi sitakuwa na nafasi!!!
 
Turuhusiwe kudandia pia ili na Sisi tulipiwe nauli wakati WA kurudi
 

Attachments

  • IMG_20250525_154213.jpg
    IMG_20250525_154213.jpg
    28.6 KB · Views: 10
Wale wote manotaka kujionea chopa kwa karibu hitaji lenu limepata ufumbuzi! Kwa siku 16 mfululizo chopa ya CHAUMU itakuwa hewani kuwaburudisheni nyote!

Sikumbuki tarehe, lakini ni kwa siku kumi na sita mfululizo!

Sikumbuki pia kama watatoa na nauli, au kama kutakuwepo na malori ya kuwasomba watu kwenda mkutanoni kujionea chopa! Lakini unaweza kuwapigia kwa namba ya KATIBU MKUU wao mpya!

Utahudhuria?

Mimi sitakuwa na nafasi!!!
Wana ubwabwa na mtori?
 
Hivi umuhimu wa hicho chama ni nini kama sio kupoteza hela za wananchi
 
🤣🤣🤣🤣ikiidondosha Ubwabwaa na haragee Koo Tuachamee😀
 
RIP Deo filikunjombe,zilikua nyakati nyakati hizi hizi!

Watchout mbowe!this move kama Haina baraka ya wenye dola achana nayo,lakini kama wenye Dola ndio wamekutuma sawa!!!

Ngoja tuone!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom