GE2025 CHAUMMA kuzindua kampeni Agosti 31, 2025 Kinondoni

GE2025 CHAUMMA kuzindua kampeni Agosti 31, 2025 Kinondoni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tarehe 31/08/2025 Kinatarajia Kuzindua Kampeni za Mgombea Urais Kupitia CHAUMMA Katika Viwanja Vya Kinondoni Biafra Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Habari na Taarifa kwa umma wa CHAUMMA, John Mrema amebainisha hayo kwenye taarifa aliyoitoa kwenye ukurasa rasmi wa chama hicho akiwaalika wanachama wa CHAUMMA kujitokeza katika viwanja vya Biafra, wilaya ya Kinondoni.

 
Kumekucha kumekucha..... Mwalimu anaanza kazi.

Mgombea urais wa chauma ni mpigania haki tangu akiwa Umbwe Secondary kiasi kwamba aliwahi kufukuzwa shule enzi ya mwalimu Mkuu Mzee Msele(R.I.P)
 
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tarehe 31/08/2025 Kinatarajia Kuzindua Kampeni za Mgombea Urais Kupitia CHAUMMA Katika Viwanja Vya Kinondoni Biafra Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Habari na Taarifa kwa umma wa CHAUMMA, John Mrema amebainisha hayo kwenye taarifa aliyoitoa kwenye ukurasa rasmi wa chama hicho akiwaalika wanachama wa CHAUMMA kujitokeza katika viwanja vya Biafra, wilaya ya Kinondoni.
 
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tarehe 31/08/2025 Kinatarajia Kuzindua Kampeni za Mgombea Urais Kupitia CHAUMMA Katika Viwanja Vya Kinondoni Biafra Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Habari na Taarifa kwa umma wa CHAUMMA, John Mrema amebainisha hayo kwenye taarifa aliyoitoa kwenye ukurasa rasmi wa chama hicho akiwaalika wanachama wa CHAUMMA kujitokeza katika viwanja vya Biafra, wilaya ya Kinondoni.

Right caption ni kuwa CCM B kuzindua kampeni Kinondoni
 
Back
Top Bottom