johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Pimbi wa kwenye SANIMbowe akikubali kuteuliwa atakuwa bonge la pimbi
Pimbi wa kwenye SANIMbowe akikubali kuteuliwa atakuwa bonge la pimbi
Chadema ipo hai?
Ahahahahaha! Kila la kwenye hayo mapambano!Ipo hai ndio maana Msajili, mahakama, TISS, mamluki na CCM wanapambana usiku kucha.
Walikuwa wanamtegemea Mpina dalali akawawahi. Tutegemee wimbi kubwa la hao mamluki kutua kwa dalali baada ya ngoma kwenda komboKulingana na taarifa iliyotolewa leo Agosti 5, 2025 na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Taarifa kwa Umma, John Mrema, Agosti 7 kutakuwa na mkutano mkuu utakaokuwa na ajenda ya kupitisha Ilani ya uchaguzi na ajenda ya kutelua wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano na Zanzibar.
View attachment 3432671
View attachment 3432672
Inaitwa aibu! Na neno ni huyo! Kama kuandika kunakukataa, kaa kimyaHaibu tupu , uyo atakae teuliwa akesha bure
Jf sio pa kujifunzia kuandika , acha uhuni wakoInaitwa aibu! Na neno ni huyo! Kama kuandika kunakukataa, kaa kimya
Kitu kikikukataa nawe kikatae au rudi shuleJf sio pa kujifunzia kuandika , acha uhuni wako
PumbavuKitu kikikukataa nawe kikatae au rudi shule
Asante sanaPumbavu
Vip Mwamba bado simu haipokelewi?Walikuwa wanamtegemea Mpina dalali akawawahi. Tutegemee wimbi kubwa la hao mamluki kutua kwa dalali baada ya ngoma kwenda kombo