GE2025 CHAUMMA kuteua mgombea urais Agosti 7

GE2025 CHAUMMA kuteua mgombea urais Agosti 7

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,755
Reaction score
2,644
Kulingana na taarifa iliyotolewa leo Agosti 5, 2025 na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Taarifa kwa Umma, John Mrema, Agosti 7 kutakuwa na mkutano mkuu utakaokuwa na ajenda ya kupitisha Ilani ya uchaguzi na ajenda ya kutelua wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano na Zanzibar.
IMG-20250805-WA0074.jpg

IMG-20250805-WA0077.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250805-WA0074.jpg
    IMG-20250805-WA0074.jpg
    107.1 KB · Views: 14
  • IMG-20250805-WA0077.jpg
    IMG-20250805-WA0077.jpg
    76.7 KB · Views: 14
Kulingana na taarifa iliyotolewa leo Agosti 5, 2025 na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Taarifa kwa Umma, John Mrema, Agosti 7 kutakuwa na mkutano mkuu utakaokuwa na ajenda ya kupitisha Ilani ya uchaguzi na ajenda ya kutelua wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano na Zanzibar.
View attachment 3432671
View attachment 3432672
Haibu tupu , uyo atakae teuliwa akesha bure
 
Naona CCM B wameshalipwa allowance zao za miezi 3 kuhadaa umma.

Bahati nzuri ni kwamba watanzania wa sasa sio wa 1970.
 
Hakuna kosa kubwa walilofanya kundi la G55 kukimbilia chaumma na kuondoka chama imara na kinachopendwa na watanzania. wataambulia zero hawakusoma majira.
 
Hesabu na biashara mbovu ni mradi wa Chauma 2025 hakuna Return on Investment kabisa 🤣🤣🤣🤣
 
Mbowe akikubali kuteuliwa atakuwa bonge la pimbi
 
Back
Top Bottom