PreGE2025 CHAUMMA Imefungua Milango kwa kina Kigaila

PreGE2025 CHAUMMA Imefungua Milango kwa kina Kigaila

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
781
Reaction score
1,831
kujiunga na chama chetu,” alisema Kabutali katika mazungumzo maalum na Nipashe Digital.

Aliongeza kuwa wanaendelea na maandalizi kuelekea Juni 27, 2025, ambapo tutatangaza majina ya wagombea wetu wa Urais, Ubunge na Udiwani.

CHAUMMA ambaye hakutaka jina lake litajwe, alikanusha taarifa zinazozagaa mitandaoni kuwa tayari chama hicho kina mazungumzo ya kuwapokea wanachama kutoka Chadema.

“Sio kweli hatujafanya mazungumzo na mtu yeyote, lakini milango ipo wazi kama siku hiyo watakuja, uamuzi wa kuwapokea au kutowapokea utategemea hali ya siku husika,” alisema kiongozi huyo.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kuwapokea wanachama wapya kutoka vyama mbalimbali vya siasa, wakiwemo waliokuwa wanachama wa kundi la G55 lililojitenga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hivi karibuni.

Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA Tanzania Bara, Kayumbo Kabutali, amesema chama hicho hakina pingamizi kwa yeyote anayetaka kujiunga nao, lakini amekanusha uvumi kuwa tayari wameanza kuwapokea wanachama waliotoka Chadema.
“Hakuna wanachadema tuliowapokea hadi sasa, isipokuwa tunaendelea kuhamasisha nchi nzima watu
 
CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kuwapokea wanachama wapya kutoka vyama mbalimbali vya siasa, wakiwemo waliokuwa wanachama wa kundi la G55 lililojitenga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hivi karibuni.

Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA Tanzania Bara, Kayumbo Kabutali, amesema chama hicho hakina pingamizi kwa yeyote anayetaka kujiunga nao, lakini amekanusha uvumi kuwa tayari wameanza kuwapokea wanachama waliotoka CHADEMA.
 
Haya sasa ongozaneni 🐆🐅🐆🐅🐆🐅🐆
 
Afunikaye kosa hutafuta kupendwa; Bali yeye akashifuye neno hutenga rafiki.

Mithali 17:9
 
kujiunga na chama chetu,” alisema Kabutali katika mazungumzo maalum na Nipashe Digital.

Aliongeza kuwa wanaendelea na maandalizi kuelekea Juni 27, 2025, ambapo tutatangaza majina ya wagombea wetu wa Urais, Ubunge na Udiwani.

CHAUMMA ambaye hakutaka jina lake litajwe, alikanusha taarifa zinazozagaa mitandaoni kuwa tayari chama hicho kina mazungumzo ya kuwapokea wanachama kutoka Chadema.

“Sio kweli hatujafanya mazungumzo na mtu yeyote, lakini milango ipo wazi kama siku hiyo watakuja, uamuzi wa kuwapokea au kutowapokea utategemea hali ya siku husika,” alisema kiongozi huyo.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kuwapokea wanachama wapya kutoka vyama mbalimbali vya siasa, wakiwemo waliokuwa wanachama wa kundi la G55 lililojitenga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hivi karibuni.

Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA Tanzania Bara, Kayumbo Kabutali, amesema chama hicho hakina pingamizi kwa yeyote anayetaka kujiunga nao, lakini amekanusha uvumi kuwa tayari wameanza kuwapokea wanachama waliotoka Chadema.
“Hakuna wanachadema tuliowapokea hadi sasa, isipokuwa tunaendelea kuhamasisha nchi nzima watu
Bora waende ACT Wazalendo au kama Wana uhakika na Ubunge waende huko huko chauma.
 
Lissu analiwa kunguni gerezani kwa sababu ya ujinga wake, ameacha chama kinapasuka
 
Waende tu wakaufinye ubwabwa kwani tunajua hao jamaa ni njaa kali
 

Attachments

  • FB_IMG_1744209206308.jpg
    FB_IMG_1744209206308.jpg
    20.9 KB · Views: 12
Oneni dharau za Police
 
kujiunga na chama chetu,” alisema Kabutali katika mazungumzo maalum na Nipashe Digital.

Aliongeza kuwa wanaendelea na maandalizi kuelekea Juni 27, 2025, ambapo tutatangaza majina ya wagombea wetu wa Urais, Ubunge na Udiwani.

CHAUMMA ambaye hakutaka jina lake litajwe, alikanusha taarifa zinazozagaa mitandaoni kuwa tayari chama hicho kina mazungumzo ya kuwapokea wanachama kutoka Chadema.

“Sio kweli hatujafanya mazungumzo na mtu yeyote, lakini milango ipo wazi kama siku hiyo watakuja, uamuzi wa kuwapokea au kutowapokea utategemea hali ya siku husika,” alisema kiongozi huyo.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kuwapokea wanachama wapya kutoka vyama mbalimbali vya siasa, wakiwemo waliokuwa wanachama wa kundi la G55 lililojitenga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hivi karibuni.

Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA Tanzania Bara, Kayumbo Kabutali, amesema chama hicho hakina pingamizi kwa yeyote anayetaka kujiunga nao, lakini amekanusha uvumi kuwa tayari wameanza kuwapokea wanachama waliotoka Chadema.
“Hakuna wanachadema tuliowapokea hadi sasa, isipokuwa tunaendelea kuhamasisha nchi nzima watu
Inasemekana mzee wa ubwabwa amekula ubwabwa kwa mwamba
 
ANAANDIKA KADA WA CCM BOLLEN NGETI NGETTI.


MIAKA 10 iliyopita nilikuwa nawaambia kuwa Chadema ni NGO ya Mzee Edwin Mtei na familia yake huku mkwewe Freeman Mbowe akiwa na jukumu la kulinda maslahi ya shirika tajwa hamkunisikia wala kunielewa.

Kuna watu walijaribu kutaka kukifanya Chadema kiwe kweli chama pinzani kwa CCM baada ya kugundua kuwa Mbowe ni "negotiable politician" ambaye bei yake inajulikana ubaoni lakini yaliyowakuta sote tunajua.

Mbowe alikifanya Chadema kuwa taasisi ya kidalali kisichoweza kuleta upinzani wa kweli kwetu, CCM. Mbowe amefanya biashara kubwa na kupata faida kubwa kupitia Chadema.

Mbowe hakuwahi kuamini kuwa Chadema inaweza kutoka mikononi mwake. Inawezekana bado haamini lakini ndio hivyo chama kimeenda kwa mtu serious dhidi ya CCM. Bei ya Lissu haijulikani na ukitaka kujua muulizeni Abduli.

Kumbukeni utabiri wa Jakaya kwa wana-CCM mkutano mkuu 2010, "ni kheri Dk. Slaa ashinde Urais na mimi nishindwe lakini si Tundu Lissu ashinde Ubunge, huko tuendako atawasumbua sana. Serikali italala na viatu miguuni". Imetimia?

Nawasihi wana CCM tujitahidi kujibu na kumjibu Lissu kwa hoja na si kwa hila na majeshi. Tunazidi kuharibu. Rais Samia Suluhu Hassan bado ana nafasi ya kutamka tu, "mwachieni huru Lissu" fullstop!

Hoja za Lissu zinajibika ila si na Amos Makalla aliyeamua kuendekeza "cheap politics". Watafutwe wa kujibu hoja za Lissu maana zina manufaa hata na sisi wenyewe wana CCM.

Hii project ya G-55 ya Mbowe haitoinufaisha CCM zaidi ya upigaji usio na maana yoyote. Wachaga hawataki kuamini kuwa chama chao sasa kimekwenda kwenye misingi ya kuanzishwa kwake kabla ya kufanywa kuwa Familly NGO. Mbowe anajuta ila Lissu ataleta manufaa kwa upinzani kama hatonyongwa hadi kufa. Period!
#LogosMkushi2025
 
Chama ni watu ukiona wanaondoka hakuna chama hapo
Tanzania ina raia milioni zaidi ya 60.Kuondoka hao 55wengine watajiunga.Watanzania wa leo hawadanganyiki.Hata waliopo CCM wanajua wanapigwa changa la macho,ila njaa ndio zimewaweka hapo🤔
 
kujiunga na chama chetu,” alisema Kabutali katika mazungumzo maalum na Nipashe Digital.

Aliongeza kuwa wanaendelea na maandalizi kuelekea Juni 27, 2025, ambapo tutatangaza majina ya wagombea wetu wa Urais, Ubunge na Udiwani.

CHAUMMA ambaye hakutaka jina lake litajwe, alikanusha taarifa zinazozagaa mitandaoni kuwa tayari chama hicho kina mazungumzo ya kuwapokea wanachama kutoka Chadema.

“Sio kweli hatujafanya mazungumzo na mtu yeyote, lakini milango ipo wazi kama siku hiyo watakuja, uamuzi wa kuwapokea au kutowapokea utategemea hali ya siku husika,” alisema kiongozi huyo.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kuwapokea wanachama wapya kutoka vyama mbalimbali vya siasa, wakiwemo waliokuwa wanachama wa kundi la G55 lililojitenga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hivi karibuni.

Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA Tanzania Bara, Kayumbo Kabutali, amesema chama hicho hakina pingamizi kwa yeyote anayetaka kujiunga nao, lakini amekanusha uvumi kuwa tayari wameanza kuwapokea wanachama waliotoka Chadema.
“Hakuna wanachadema tuliowapokea hadi sasa, isipokuwa tunaendelea kuhamasisha nchi nzima watu
Huku si ndiyo kwenye ubwabwa au ni wapi?
 
Hivi ni kweli yale mageuzi wanayopambania wenzao hayana mantiki? Ama wao haeakua serious na hayo bali maslahi yao binafsi.
 
Back
Top Bottom