Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Naibu Katibu mkuu CHAUMMA, Benson Kigaila wakati akizungumza na waandishi wa habari ameeleza kuwa kwa kiwango kikubwa wamefanikiwa kuteua wagombea wa nafasi ya udiwani kwa upande wa Tanzania bara ambao kwa sasa wanaruhusiwa kwenda kuchukua fomu kwenye tume.
Kigaila ameeleza kuwa wagombea walioteuliwa ni 3182 kati ya kati ya kata 3962 na kwa kata zilizobakia mchakato bado unaendelea.
Kigaila ameeleza kuwa wagombea walioteuliwa ni 3182 kati ya kati ya kata 3962 na kwa kata zilizobakia mchakato bado unaendelea.