,,heee chatu hee chatu usimchukie utaukosa ushindi
Unapigapicha kwa woga, mbona taharuki hatuzioni, acha kutengeneza taharuki ambayo haipo.Wananchi wa kata ya Isyese sokoni katika mkoa wa Mbeya wamekumbwa na taharuki baada ya sanduku lenye chatu mkubwa kupatikana katika eneo la wazi.
Chatu huyo amechukuliwa na na maafisa wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa ajili ya kuhifadhiwa.
... wachina wametelekeza mboga yao.Kwetu ni mboga hiyo..!
haaahaaaaha yaani JF burudani sana nilivyofungua Uzi tu nikajua lazima nikutane na comment kama hii!Huyo chatu ni wa chatto!!!
Nimecheka sana asubuhi wakati napita kuelekea kazini ikabidi nisimame nami nishuhidie hilo dubwana. Wahuni walidhani ni mali imetelekezwa, walichukua trunker na kwenda kuvunja kufuri zilizokuwa zimefunga hilo trunker baada ya kuliona hilo dude wakarudishia na kulirudisha hilo trunker palepale barabarani walipolikuta.Wananchi wa kata ya Isyese sokoni katika mkoa wa Mbeya wamekumbwa na taharuki baada ya sanduku lenye chatu mkubwa kupatikana katika eneo la wazi.
Chatu huyo amechukuliwa na na maafisa wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa ajili ya kuhifadhiwa.
View attachment 1722913