Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Hiyo Ni Ripoti Au Ni Maoni Ya WanaCUF walioajiriwa DW Na Wanaitumia Vilivyo DW Kufanya Propaganda Kwa Maunufaa Ya CUF Na Maalim Seif ?buhari na magufuli kuna ripoti imewataja kama marais waliowavunja moyo wapiga kura wao kwa mwaka 2016.
source : DW Swahili
Rais Magufuli na Buhari watajwa kama marais walioangusha matumaini .