Huu ni ujinga,kuweka taa za kuongoza magari kwenye Kijiji cha Chatto chenye magari yasiyo zaidi kumi
Na taa za barabarani
ataweka huyu kwa akili yake ninavyo iona.
Ambazo zinavuka punda
Na taa za barabarani
Kuremba mji na kuonyesha ni wa kisasa. Kama umeambiwa ni kuongoza magari umedanganywa!Hiv kaz ya taa za barabarani ni nini?