Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
mtani mie naweka chini ya mto sina akaunti bank nikuone wapi unipe mgao wangu?nchi ishauzwa kila mtu ani pm acc number yake nimtumie buku ngapi ngapi zake..
ni kweli mkuu si unakumbuka dege la kijeshi lilikuja kuchukua mali zao (wanyama wao ) pale KIA.. na simu zilipigwa moja kwa moja toka ikulu.. unafikiri ikulu anaishi SAINT IVUGA? nope ikulu ndio anapoishi mtu aliyepigiwa kura na wananchi wote na tulimbariki atuuzeHahahhahaha .
Kweli sold maana sasa hata mbuga na hifadhi za za wanyama na maliasili hazlilipi inabidi zifutwe zipishe machimbo. Hope hao wanyama watapata makazi uarabuni, Ulaya na china.
Keshehe iko kwetu sisi wnananchi. Sisi ni kama bad asset. Wawekezaji wanatamni watanzania wote tungekuwa tembo au swala au simba. thamani yetu ingekuwa kubwa kidogo
The thing is we don't have that highlighted word in our vocabulary!.Duuh the chatter z 4 real! hivi wats gonna happen 2 the coming generation if so far nchi haieleweki!
Solid to who? Bush? Hillary Clinton au nani? waziri mkuu wa India? mana hawa ni recent leaders ambao walifika hapa Tz karibuni labda wamenegosieti bei kabisaa..
Ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
huu ni ukweli kabisa, umenifanya nicheke sana maana bado tu kwa sisi kuhamishwa ili wenye nchi waichukue.
ni kweli kabisa uku kwetu asa pande za maruku WAKENYA wamenunua kabisaa.View attachment 33954Ungeongeza na wamiliki. Mi nadhani ingekuwa hivi.
duh!! hadi wakenya wamenunua .. kweli nchi yetu ni malaya.ni kweli kabisa uku kwetu asa pande za maruku WAKENYA wamenunua kabisaa.
Nimeipenda hiiMaskini wee, NCHI IMEUZWA LAKINI SISI HATUUZIKI KWA KUWA NI WAVIVU. TUTAENDA WAPI JAMANI!